World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

ha ha ha nipo na SPAIN mkuu bado, mashambulizi ya portugal ni kawaida ya mpira hayanitishi viile.
hehehe mkuu una moyo kweli, mwenzako invizibo kaona hakieleweki kasepa, inawezekana kabisa ka log out bila kuaga.
 
hapa nadhani leo hakuna underdogs kuna huyu "favourite wa kichina" (SPAIN) ambae anaaga mashindano usiku wa leo. si unamuona anavyokoswa koswa?

ooh..kumbe no underdogs eeh!..ulivyo na hamu ya Spain kutolewa,utashangaa portugal inaaga haya mashindano!!naomba tu upotee kimya kimya spain wakishinda..
 
Torres kapumzishwa, labda ana gundu ndo maana Spain hawafungi!
 
Goooooooooooooooaaaaaaaaaaaaaaaal!!!!...Spain watia kitu...Villllllllllllllllllllaaaaaaa!!!!!!




 
Mhhh! Chuma kimetinga wavuni.
 
Yaani we acha tu...miye nilikuwa sina pressure na mechi ile lakini baada ya kumalizika penalties na baadhi ya Wacheza wa Japan kuanza kulia kama watoto niliwaonea huruma sana. I hope hawatamtungua na bunduki yule Komona.

:focus:
mimi nilijiuliza sababu ya komona kupewa penati apige baada mtangazaji kutaja historia ya jamaa.kwanza ni beki sio mbaya lakini mabeki ni wazuri sana kupaisha penati,alafu jamaa hajawai kuifungia goli japan,labda hawakuwa na mtu mwingine zaidi ya huyu kama ingekuwa kwenye extra penaties ningeelewa lakini 5 za mwanzo?
 
Ramos kamtoa goalie kosha kweli kweli!!!..Spain wanatafuta la pili kuwazika hawa Portugal kabisa!
 
Leo huyu mwanamume kafunikwa na brangeti!!!


Sijui kwanini huwa haonyeshi vitu vyake kwenye timu yake ya Taifa kama alivyokuwa anatumia kipaji chake alivyokuwa MANU na sasa Real Madrid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…