World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Ramos kamtoa goalie kosha kweli kweli!!!..Spain wanatafuta la pili kuwazika hawa Portugal kabisa!

Match imalizike ndani ya dak 90 tukalale. Itachosha sana kwenda kwenye extra time na matuta! Spani inabidi waendeleze hiyo kasi ili wasije kubabatizwa katika dakika za mwisho na kutupwa nje.
 
Match imalizike ndani ya dak 90 tukalale. Itachosha sana kwenda kwenye extra time na matuta! Spani inabidi waendeleze hiyo kasi ili wasije kubabatizwa katika dakika za mwisho na kutupwa nje.

Nakubali kabisa. tushaona ile ya Japan na hii iishe tu ndani ya 90mins.
 
Huyu David Villa mhhh, sijui kaamkia upande gani. Kamtia jamba jamba sana kipa Eduardo!
 
The World Cup is a whole different animal bro.

Wacheza si ndiyo wale wale wa kutoka kwenye vilabu ambavyo anaawaadhiri mara nyingi tu? au? Miye nadhani hajitumi kama anavyojituma kwenye klabu.
 
:clock:dakika ndiyo zinayoyoma taratibu.
 
Wakuu,

Spain wanakipiga hapa si utani!!!..Im enjoying hii dana dana yao maana Portugal
hawagusii mpira kabisa....:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
Wacheza si ndiyo wale wale wa kutoka kwenye vilabu ambavyo anaawaadhiri mara nyingi tu? au? Miye nadhani hajitumi kama anavyojituma kwenye klabu.

sio rahisi kupata wachezaji wa kumsaidia kwenye timu ya taifa wenye kiwango sawa na wachezaji wa kwenye club yake.

ndio kama Etoo wanavyomlaumu huku hawaangalii wapishi wake plae inter milan wakina sneijder .sio rahisi mchezaji mmoja tu kwenye timu ya taifa haweze kusaidia timu.
 
Wacheza si ndiyo wale wale wa kutoka kwenye vilabu ambavyo anaawaadhiri mara nyingi tu? au? Miye nadhani hajitumi kama anavyojituma kwenye klabu.

Nimesikia hawa ma-analyst wakisema kua in this case anacheza kama midfield striker na sio ile
traditional role ya striker akiwa katika club level. Kwa hiyo mpangilio ni tofauti kidogo.
Kisha kumbuka defenders washafanya homework yao na wako more prepared for his antics.
Anaonekana wa kawaida tu na wale wasiojulikana ndo wamekua nyota sasa.
 
Spaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiinnnnnnnnnn waleeeeeee wanaenda nusu fainali manake nimewafutia robo fainali kutokana na mpira wa paraguay leo labda wakachukue ushauri kwa kocha wa swiss.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…