World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Sweet, naombea Spain wakutane na Germany (hopefully wajerumani watawatoa Argentina).
 
finaly umeitaja timu uliokuwa unashangilia ha ha ha.

AW kweli una macho, ila mbona hapo nimegusia timu zote ha ha!!..Kweli lakini kwavile Spain wameshinda,ndio nilikuwa nawashabikia!!..Panadol amepotea kimyaa namwambia...ushabiki ni kazi ngumu.he he
 
Ghana vs Uruguay
Argentina vs Germany
Brazil vs Holland
Spain vs Paraguay

kweli robo fainali tutafaidi sana.
 
Huyu jamaa kayeyuka kabisa? Hahahaha... Leo naona siku imekuharibikia kabisaaa...! I told you mkuu

Hahahahahaha nipo mkuu niliamua kuomboleza pembeni lol! siku haikuenda vizuri ati! Serena ndiyo kanipa furaha japo kidogo.
 
AW kweli una macho, ila mbona hapo nimegusia timu zote ha ha!!..Kweli lakini kwavile Spain wameshinda,ndio nilikuwa nawashabikia!!..Panadol amepotea kimyaa namwambia...ushabiki ni kazi ngumu.he he

ha ha ha umegusa timu mbili zote wapi wakati umetoa "spain huree" la nguvu lol.Spain hawa unaenda nao mpaka semi final.

yule klorokwini anajitafutia matatizo tu mwenyewe,sasa tamuona robo fainali anaishangilia Paraguay lol.
 

Vicente Del Bosque...kocha wa Spain akitoa maarifa kwa wachezaji!!!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…