World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Klorokwin naona wewe unafanya utani na Brazil ..angalia samba leo linavyochezwa pale uwanjani ..harafu utanipa majibu.:A S 39:
Kwa Ghana mmmh mungu saidia :A S-confused1: .....I reserve my comment
hakikisha unakuwepo kwenye hii sredi mpaka kipute kinaisha, (kutakuwa na offer ya supu la utumbo ,BRAZIL akishakufanyishiwa), samba linasambaratishwa leo.
BTW:hako ka avatar kama unanitazama mimi hivi? hehehehe
 

hii inaingiaje kwenye hii thread, au tu kwakuwa inahusiana na worldcup and the thread is about world cup so ukaona uiiingizie??
 
sijui kuhusu Brazil mkuu ha ha ha usije ukakimbia tena kama siku hile lol.
he he he ka laptopu kaliisha chaji bana, lakini leo BRAZIL anapelekwa kuzimu tu, mkuu kama ulikuwa upande wa BRAZIL ,muda bado upo wa kubadilisha kibao.
 
hakikisha unakuwepo kwenye hii sredi mpaka kipute kinaisha, (kutakuwa na offer ya supu la utumbo ,BRAZIL akishakufanyishiwa), samba linasambaratishwa leo.
BTW:hako ka avatar kama unanitazama mimi hivi? hehehehe

Mada ni Ghana Versus Uruguyai, Brazili anaingiaje kwenye hii mada? Wengi wanaofeli mtihani si kwamba hawajui bali wanaamua kujibu maswali yao badala ya yale waliyoulizwa.
 
Ushindi vile vile unategemea mwamuzi kama hatakuwa BIAS kwa Afrika
 
he he he ka laptopu kaliisha chaji bana, lakini leo BRAZIL anapelekwa kuzimu tu, mkuu kama ulikuwa upande wa BRAZIL ,muda bado upo wa kubadilisha kibao.

Basi save charge yako kwa kuiweka pembeni sasa hivi hili chaji isikuishie tena leo lool.
 
Ghana 2 Uruguay 1. Itakuwa bomba sana na furaha tele kwa Waafrika katika bara letu na walio katika mabara mengine duniani.
 
pamoja na maumivu yoote IM STILL DOWN WITH UNDERDOGS....leo i guess ni HOLLAND...today im an ORANGE.................
 

huyo sneija huyo LEO WAJISHIKE HAWA SAMBA-BOIIZ
 
Wadau,

Baada ya siku mbili za mapumziko, kipute kinaanza tena. Samba Boys wanapiga na wa-Dachi in half an hours time.

Karibuni.



Natumai leo tutaona soka la hali ya juu. Brazil 3 Netherlands 1
 
Mechi itakuwa kali sana hii leo.siwezi kuchagua timu kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu lool.


May the best team win.
 
Brazil inachukua hii kilaiiiiiiiiiiiiiiiini..andaeni macho tu...
 
Mechi itakuwa kali sana hii leo.siwezi kuchagua timu kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu lool.


May the best team win.


hehehehe haya AW, utashangilia mshindi baada ya mechi kuisha. Nawe umejiunga na timu BJ lol! nadhani yeye leo atakuwa na Holland.
 
hehehehe haya AW, utashangilia mshindi baada ya mechi kuisha. Nawe umejiunga na timu BJ lol! nadhani yeye leo atakuwa na Holland.

ha ha ha sio hivyo mkuu leo nimejikuta nimekaa vibaya sana,huku na msupport Van Persie alafu upande wa pili nime bet kwamba Brazil anashinda unaona sasa kazi hilivyo ngumu?.Kwahio matokeo yoyote powa tu ndio maana nimesema "may the best team win"lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…