Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
I salute you!....Rooney is the great player akiweka hasira zake pembeni tutawafunga USA.....y
hivi mkuu huu ugonjwa wa watu wengi tunaopenda ligi ya uingereza kwa sisi watanzania sijui nchi zingine, kipindi kirefu tumekuwa hatuipendi uingereza kwenye international games kwanini? ni kwa ajili ya jeuri ya media yao au
This team can go nowhere, labda wanaeza kushinda leo, lakini with this kind of mediocres wataishia raundi ya 2 tu.
At Milner anaanza mbele ya Joe Cole? Hata hivo nashukuru James hachezi maana wanapenda sana kumtupia lawama hata zisizo na sababu. Leo wache wachapwe wao na kipa wao 'mzungu'.
what?....since when? (you all suck LOL!).....Go England yooh!.....mpira unaanza saa ngapi?hawa ABC wameshanichosha na matangazo yao.....
Hivi when na Tanzania tutapata opportunity kama hizi?.....Kiranga kwa nini usiende kucheza mpira wa kulipwa ulaya?.....
We will return like Rambo, be back with some Schwarzenneger swagger.
Our plotline is always to come in from the cold as an underdog.
GGGEEERRRAAARRRDD..basi leo hatulali ..lol
mkuuKwa mpira wanaocheza nina uhakika US watasawazisha na kuongeza lingine kama siyo mengine
Ngosha bana, hivi ni utabiri gani mwaka huu ulienda vizuri?Kwa mpira wanaocheza nina uhakika US watasawazisha na kuongeza lingine kama siyo mengine