Ghana made us happy & sad as well. Kilichotokea kwa A.Gyan ni bahati mbaya zaidi kuliko makosa ya kibinadam, any body angeweza kukosea, Ghana hawakuwa na bahati zaidi jana kwa kweli, bendera ya nchi yao na Africa kwa ujumla imepeperushwa vema.
BWT, Hivi hawa FIFA kwa nini wasiweke sheria kwamba, kama mchezaji akizuia mpira ambao unaelekea golini na hakuna uwezekano kwamba goal keeper anangeweza kuuzuia liwe goli mmoja kwa moja kuliko kutoa adhabu ya penalty? Ghana jana wamenyang'anywa ushindi kwa mchezaji wa Uruguay kuurudisha mpira uliokuwa unaenda golini kwa mikono miwili, lile lilikuwa ni goli moja kwa moja! FIFA need to review their sherias kwa kweli!