World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

ha h aha ha ha hii kiboko. eanatia aibu argentina.Maradona kapigwa bonge la "shut up fool".


Argentina toka mwanzo pale mbele wanaangaika na style hio hio ambayo haikubali ndio ukitaka kujua maradona zero.
 
Waandishi wa habari wawe makini sana na Maradona anaweza kurusha ngumi jamii haaminiki hata kidogo.
 
.. F O U R ! who said WC hii haina mvuto ? ? There goes another Kigogo ...!
 
Leo nimeamini watanzania hatujui mpira - si wachezaji, si mashabiki. Eti tunaacha kuishangilia timu ya Afrika, tunawashangilia Maradona na Dunga na matokeo yake ndiyo haya - chuma nne bila !

mkuu,hapa ni germany vs argentina.....timu gani ya afrika iko hapa........by the way timu ya mwisho ya afrika imetolewa jana na HUJUI MAUMIVU TULIYOPATA.....
 
Kufungwa brazil na Argentina kumenifurahisha sana......
 
Nilijua Spain ndio watakuwa na njia rahisi kwenda semis kumbe Germany kawa na njia nyepesi kuliko timu yoyote.
 
ha h aha ha ha hii kiboko. eanatia aibu argentina.Maradona kapigwa bonge la "shut up fool".


Argentina toka mwanzo pale mbele wanaangaika na style hio hio ambayo haikubali ndio ukitaka kujua maradona zero.


bora wangekuwa na style.....ni anao-anao mpaka anyang'anywe...kama sio messi ni tevez/higuain......hovyoooo
 
Mkuu, yaani hii kitu ni muhimu kuliko goal-line techies., kama umefuatilia utakua umeona kuwa WC hii wachezaji wengi wa ndani wamekuwa wanadaka mipira inayoelekea NYAVUNI kama MAFISADI vile... kwakweli kadi nyekundu na penati haitoshi maana siku hizi penati haziaminiki tena!.

Inatakiwa FIFA wabadilishe sheria kama mtu akidaka mpira unaoelekea NYAVUNI inabidi goli lihesabike na kama mtu akishika mpira ambao hauelekei NYAVUNI lakini ni ndani ya kumi na-nane basi ndio iwe penati.

Suarez ameweka precedent (unajua kule kwao yeye ndio hero wa mechi ya jana!) na kama hii kitu haitafanyiwa kazi basi tusilaumiane mbeleni pale mataifa makubwa yatakapoathirika!

Nakubaliana nawe kabisa. Hata mimi nilifikiria kitu kama hiki jana baada ya huzuni kubwa iliyotanda katika bara letu na sehemu nyingine duniani.
 
World number one Serena Williams won her fourth Wimbledon title with a commanding 6-3 6-2 win over Russian 21st seed Vera Zvonareva.....ooohps, kumbe nipo off points, hapa ni ujermany au argentina.....mpira bana, mess hamna kitu,,,,,,,,hivi ni kweli kufunga kunategemea na partners wako...ukiwa timu A unaweza kufunga sana kwasababu yupo Mr X lakini ukihama kwenda timu B, unaonekana mdebwedo kama strikers na forwrd wa argentina.....
 
Huyu bwana kama kawaida yetu, hakutulia wala kutumia akili alipokuwa anapiga ile penalti. Kilichokuwa mbele yake ni u stardom na confidence iliyopitiliza. As usual, same problem with what experts call mental strenght. When it comes to penalt shoot outs, one has to be himself, cool and focused. The brain should be there and not only the phisique....Once again, tufikirie vizuri namna bora ya kuendeleza our mental state when dealing with serious issues. We never take them seriously and all that is happening around, to me we deserve every bit of it.
Hakuna suala la bahati wala bahati mbaya. Ni upuuzi wetu tu
 
Kilichotokea leo ni kilekile kilichotokea kwene game na England, Ujerumani inatangulia kupata goli, timu pinzani inajaribu kurejesha muda unaenda bila mafanikio, kisha wanapanic wanapigwa kwene counter au moves zisizo na kichwa wala miguu. Strength ya Ujereman so far ni kwene ulinzi na counter attacks.
 
German efficiency is amazing to th point I wish Wangeendelea kuwa Wakoloni wetu na si hawa mediocre kina Prince Rooney. Just think of a BMW, Mercedes Benz, Audi, Siemens, and now Kloser following the steps of Kaiser, Gard Muller, Rudi Voller Rumenigge, Matheus....Dang, I will be in Germany for October Fest!
 
mkuu,hapa ni germany vs argentina.....timu gani ya afrika iko hapa........by the way timu ya mwisho ya afrika imetolewa jana na HUJUI MAUMIVU TULIYOPATA.....
Bila shaka umesahau timu za Afrika zilipokutana na timu kutoka Amerika kusini wa TZ wengi walikuwa upande gani ? Umesahau wapo waliosikitika Ghana kuifunga USA ?
 
Klose on verge of becoming 1st back to back golden boot winner......and all-time wc top goal scorer......
 
bila shaka umesahau timu za afrika zilipokutana na timu kutoka amerika kusini wa tz wengi walikuwa upande gani ? Umesahau wapo waliosikitika ghana kuifunga usa ?

sawa mkubwa.....usichukulie siriasi hivyo.....ni mpira tu kila mtu anauhuru wa kushangilia timu anayoipenda
nb:wengine humu wanaongea kiswahili ni americans hao sio watz au waghana wanahaki ya kushangilia nchi yao....lol....
 
Back
Top Bottom