World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

hivi kuna shot on target kweli???

2 tu labda lol.cha ajabu hizi timu uzembe wao wote wa haina moja yani kila kitu saawa sawa.mapacha wa ubovu hamna mbinu hamna kitu chochote kama watu tu wametupwa uwanjani nendeni mkacheze.
 
.........Hawa nao wanaboa nafuu tu wamalize mie naona wanaruka ruka tu.
 
.........Hawa nao wanaboa nafuu tu wamalize mie naona wanaruka ruka tu.

dada Pretty naona unakaba mpaka kona, sidhani kama MR anaweza kupata nafasi ya kwenda big screen
 
dada Pretty naona unakaba mpaka kona, sidhani kama MR anaweza kupata nafasi ya kwenda big screen

.......Hakuna cha big screen wala nini ni kukaa home kuangalia game pamoja.
 
samir nasri,karim benzema wazazi wao wanatoka algria.....WHAT IF wangekuwa na uchungu na kwao??
 
Hili suala la Jabulani limeongelewa halftime na Roberto Martinez na Ruud Gullit, so as BAK brough to our attention yesterday, ni dhahiri mpira huu umetengenezwa Sumbawanga!
 
Balantanda,

Hata game la jana la US na England lilikuwa lina boa, butua butua kwa sana na hakuna carpet la uhakika kama zile dakika 10 za kwanza za Argentina na Nigeria!
 
Ruud Gullit na Roberto Martinez wakiwa half time ya Algeria na Slovenia wamezungumzia kuhusu Jabulani kutengenezwa Sumbawanga na mpira kugeuka mwelekeo na kuwa nyuki!
 
Balantanda,

Hata game la jana la US na England lilikuwa lina boa, butua butua kwa sana na hakuna carpet la uhakika kama zile dakika 10 za kwanza za Argentina na Nigeria!

Nigeria walinifurahisha sana jana(japo walifungwa)....Walibadilika na kucheza mpira mzuri tofauti na matarajio ya wengi
 
Halafu ukiangalia uchezaji huu hauna tofauti na uchezaji wa brazili ,ile kutufunga mabao matao pale ukichunguza utaona mpira wa brazili hauna tofauti kubwa na timu mbovu.
 
Algeria lazima washinde hii mechi....sioni mechi waafrika watakayotutoa!
 
Kuna msela ameparamia maguzo ya taa na amebana juu kabisa akipeperusha bendera ya slovenia ,ila polisi pale chini wanasema kuwa ameingia bure kwa kuparamia yale mataa akitokea nje ,hivi sasa wanashauriana namna ya kumshusha .ila msela ametisha anasema atakaejaribu kumfuatia juu atalipuka nae au atamkumbatia na kuruka nae ,bado mapolisi na watu wa usalama wanashauriana !😛ound:
 
kana kwamba ubovu wao hautoshi kuwapa slovenia ushindi sasa wameamua kuwapa ONE MAN ADVANTAGE,hizi timu zetu za Africa.........
 

LOL,nilimuona nikafiri ni fundi,ila nikajiuliza fundi huyu anatengeza taa mchana na gemu inaendelea...............??
 
Hili suala la Jabulani limeongelewa halftime na Roberto Martinez na Ruud Gullit, so as BAK brough to our attention yesterday, ni dhahiri mpira huu umetengenezwa Sumbawanga!


Thank you! Reverend...nadhani utakumbuka miaka ya karibuni NBA walianza kutumia mpira mpya wakati wa pre-season na Wachezaji wengi pamoja na NBA players Association waliulalamikia sana kwamba si mzuri. David Stern aliufagilia sana kwamba baada ya muda watauzoea na kukataa kata kata kuurudisha mpira uliozoeleka na wachezaji lakini criticism zilivyozidi wiki moja kabla ya kuanza regular season Stern akabadilisha mawazo na kuruhusu mpira ambao umezoelewa na wachezaji kwa miaka mingi kutumika tena. Jabulani inaweza kabisa kuendelea kutumika mpaka mwisho wa fainali za kombe la dunia lakini sioni kama una future katika mashindano makubwa ya soka yoyote duniani.
 
Huyu Thompson Gazzelle vipi tena? yani keshafanya kabumbu kuwa American Football? angefaa sana kuwa Wide Receiver! Lakini tuache uongo, I am impressed by Algeria wanavyotandaza boli!
 

mmeona MPIRA HUO balaa lake.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…