World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Anyway, Algeria had better chances to win than Slovenia and they squanderred, blame it on Jabulani!
 
Timu ya Algeria inaonekana kama ni timu iliyokaa kambini kwa muda na wanacheza kwa kuelewana. yes I am impressed hata kama wameshafungwa!

kama ALgeria wanawakilisha timu iliyokaa kambini kwa muda(sijui mrefu au mfupi) na inayocheza kwa kuelwana.....basi kazi ipo WC hii......
 
Huyu Thompson Gazzelle vipi tena? yani keshafanya kabumbu kuwa American Football? angefaa sana kuwa Wide Receiver! Lakini tuache uongo, I am impressed by Algeria wanavyotandaza boli!

Msema kweli siku zote ni mpenzi wa Mungu. Sikubahatika kuyaona mashindano ya Mataifa ya Afrika ambayo Algeria waliutwaa ubingwa...labda kama walibebwa na marefa.
 
Mabingwa wa Afrika ni Egypt mkuu..................sio Algeria

hahahaha..........Mfaranyaki na soccer wapi na wapi aisee...........mwambie asubiri gemu la akina LAL na Celtics...........hahahahah
 
Duuhh Ruud Gullit anamponda kweli kweli hapa golikipa wa Algeria............eti anafaa kucheza Volleyball na sio football/soccer......kwi kwi kwi
 
_48061626_mokabastad_getty.jpg



_48061804_algeria_gett.jpg



_48061945_chaouchi_reuters.jpg



_48062054_dedic_getty.jpg



_48062315_save_getty.jpg
 
In comparison to England game last night or Mexico , RSA, Algeria are very well coordinated na hata pasi zao ni za uhakika. Angalia butua butua na uncertainty iliyokuwepo jana kwenye game la US na England, angalia mechi ya kwanza, ilivyokuwa ngumu kwa RSA pamoja na draw.

Timu ya Algeria inaonekana kama ni timu iliyokaa kambini kwa muda na wanacheza kwa kuelewana. yes I am impressed hata kama wameshafungwa!

I second your opinion Rev.
 
Jamaa kaingia kama sub na akala Yellow mbili za haraka...nje!!!!

_48062374_red_getty.jpg
 
hii timu ndio mtu unaweza kusimama kwa kujiamini na kusema tegemeo la africa,naamini GHANA na IVORY COST ndio watatuwakilisha vizuri na leo naamini Ghana watashinda...............C'MON U GHANAzz...............
 
nani anaziba pengo la Essien leo..............
 
kama ALgeria wanawakilisha timu iliyokaa kambini kwa muda(sijui mrefu au mfupi) na inayocheza kwa kuelwana.....basi kazi ipo WC hii......

MB,

Uliangalia jinsi England walivyoonekana vihiyo jana? They could not even make 3 passes past midfield to build an attack. Sanasana kina Terry na King ndio walikuwa wakipigiana pasi mbili tatu lakini mpira ukifika kwa kina Lampard, Gerrad, Lennon unageuka kuwa Jabulani na ukitua kwa Heskey au Rooney wala hautulii.

Au tutasema kisa US walikuwa makini? What about US wenyewe? ukiondoa Donovan na Dempsey hapa na pale, bado flow ya game haikuwa impressive at all! Heri na hat game ya Mexico na RSA au South Korea!

England ni timu yenye jamaa wa majina makubwa, walishindwa kucheza kama timu, algeria is an underdog, wamecheza kama timu na wanaelewana hata kama wamefungwa!
 
Tuache uongo, the Ayew family has a dynasty. Abedi, Kwame na sasa hawa vijogoo wawili Rahim na Andre!
 
MB,

Uliangalia jinsi England walivyoonekana vihiyo jana? They could not even make 3 passes past midfield to build an attack. Sanasana kina Terry na King ndio walikuwa wakipigiana pasi mbili tatu lakini mpira ukifika kwa kina Lampard, Gerrad, Lennon unageuka kuwa Jabulani na ukitua kwa Heskey au Rooney wala hautulii.

Au tutasema kisa US walikuwa makini? What about US wenyewe? ukiondoa Donovan na Dempsey hapa na pale, bado flow ya game haikuwa impressive at all! Heri na hat game ya Mexico na RSA au South Korea!

England ni timu yenye jamaa wa majina makubwa, walishindwa kucheza kama timu, algeria is an underdog, wamecheza kama timu na wanaelewana hata kama wamefungwa!

I second that.
Algeria waliumizwa na ile red card ya yule sub wao.They played with more purpose but the costly mistake by their goalie proved to be their undoing.

Infact they were better than the French..my opinion.
 
Abdi,

THe frogs wont get anywhere... Tena wana yule mzembe wa kule kwetu Chelsea Anelka na mara kumi alitolewa!
 
Back
Top Bottom