hi JF
naona kameruni wamepifwa moja hapa .. wanatuangusha hawa
lol..Hata hawa vimburu wanatufunga..Mwe!
tih tih tih,nini hiki???hahahaha
ila naacha kuangalia ntarudi hapa kusoma matokeo
agggr ngoja nikatafute pesa zingine
Most uninspiring performance by an African team, hata Algeria walicheza vizuri. Pambaf kabisa.