World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Nigga moment..Huenda kweli IQ ya mtu mweusi inakaribiana na hayawani.
 
Hahahahaahhah huyo katafuta red card ya nini? wakati mwingine naamini Prof Watson was right!
 
Huyu kijana vipi tena! kulikuwa na sababu gani ya yeye kufanya vile? aaaag
 
Ab-Titchaz naona uko busy sana na matukio well done and
keep it up...Mechi zikiisha nakupa offer ya soda..

Poa kabisa dadangu....Hii red card imeniudhi kweli.

Sasa tazama tunavyokoswa koswa na hawa wagiriki.
 
Noma sana,huwa tunasema ng'ombe wa maskini hazai lakini hii hapa ni yakujitakia tu.rafu ya kipumbavu mapema yote ni kwenda kuwapa kazi ngumu wenzako tu.
 
Wagiriki wamepiga kambi ndani ya 18 Nigeria. Leo hapakaliki jamani.
Presha inapanda, presha inashuka....:bump:
 
Noma sana,huwa tunasema ng'ombe wa maskini hazai lakini hii hapa ni yakujitakia tu.rafu ya kipumbavu mapema yote ni kwenda kuwapa kazi ngumu wenzako tu.

Jamaa kaitafuta mwenyewe..anadhani anacheza mpira wa mnazini bwana...arrggggghhhh!!!
 
Pumzi zishawatoka Naija..sijui nikalale au vipi tena????????????
 
Haya bwe he he he..Miafrika bana. Sasa leo ndio tiketi ya vekesheni ndio imewadia.
 
Gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooal! Nig 1 Greek 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…