Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
ya moto ya baridi??!!Ab-Titchaz naona uko busy sana na matukio well done and
keep it up...Mechi zikiisha nakupa offer ya soda..
Kafanya nini huyo Keita?Nigga moment..Huenda kweli IQ ya mtu mweusi inakaribiana na hayawani.
Kampiga mtu teke.Kafanya nini huyo Keita?
Labda anavuta bange.Huyu kijana vipi tena! kulikuwa na sababu gani ya yeye kufanya vile? aaaag
Ab-Titchaz naona uko busy sana na matukio well done and
keep it up...Mechi zikiisha nakupa offer ya soda..
Noma sana,huwa tunasema ng'ombe wa maskini hazai lakini hii hapa ni yakujitakia tu.rafu ya kipumbavu mapema yote ni kwenda kuwapa kazi ngumu wenzako tu.