mkuu unamuona kipa wetu huyo wa msimu ujao? enyeama.
Mkuu, kitambo sanaaa...hata tushakata tamaa. Tubahesabu mabao tu sasa.wacha utani bana yaaaaaaani mnanambia kuwa wamepigwa goli la pili?
Naenda kulala mapema nasubiria Staple Center baadae
mkuu unamuona kipa wetu huyo wa msimu ujao? enyeama.
Namwona mkuu! Drogba atamfaa sana
kawaida yenu hio,tukisema tunamvchukua robert green mnashangilia tikuwataja wachezaji wazuri mnaua lol.Anabahatisha hayo MA-JABULANI akija Premier League anapewa dozi tu
Hii picha itakumbukwa kwa m'da mrefu...
Nasikia hata Mrisho Ngasa yupo kwenye list ya Wengerha ha ha sawa mkuu.yuko kwenye list ya Wenger.
Soka bwana TZ haya mambo ya kufeli kisoka tumezoea wenzetu wana utajiri wa furaha kama Brazil,Germany Italy... We acha tu Vuvuzela la jana sitasahau kabisaa yaaani!!
Hahahahahaha. Jamani acheni matusi ya waziwazi