World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

kwa waniga wameniput off kabisa, yaani kwa kweli sijapata kabisa raha ya gemu na hizi timu za Afrika. Na leo kama sio the great Enyiema, waniga wangeondoka na kapu la magori kwenda kugawana kwao.

Yaani wameniuzi sana, hivi kwa nini hawachezi kama wako kwenye world cup?

Niliisha sema hawa jamaa ni selfish wanacheza huku mawazo yakiwa katika kupata soko timu za ulaya matokeo yake wanaboronga. Ile red card ni kipuuzi sana, hasa ukizingatia jamaa kamgusa tu kidogo na mgiriki kareact, ni upuuzi mkubwa sana. Gemu ilikuwa yao hii kama siyo red card na hata wagiriki walilijua hilo.
 
Mkuu labda useme hiyo plan b uliyoitaka.Mkiwa pungufu ni pungufu na hilo pengo haliwezi kuzibika kirahisi hata kama ni timu kubwa kwenye rank za fifa.Vinginevyo hiyo plan b ingekuwa na maana basi kusingekuwa na haja ya kujaza watu uwanjani.Chezesha wanane,wenzako kumi,halafu mtashinda.Si kuna plan b?
Mazee usimlaumu kocha wa watu bure,wewe sema tu sisi(miafrika) tuna tatizo....
Kweli kabisa, zali alianzishe mwingine halafu tumlaumu kocha wapi na wapi. Visingizio tu kila kuchapo.
 
Kweli kabisa, zali alianzishe mwingine halafu tumlaumu kocha wapi na wapi. Visingizio tu kila kuchapo.

Hatuishiwi vituko..nimepita kwingine huko wanadai teke halikumpata yule jamaa wa ugiriki alijifanyisha.Ndiyo hivyo hata kama halikumpata ni too late na jamaa alishaitumia nafasi na points 3 washazichukua.
 
Kweli kabisa, zali alianzishe mwingine halafu tumlaumu kocha wapi na wapi. Visingizio tu kila kuchapo.

Mtu kutolewa nje kwa kadi ya kijinga ni kosa moja (silitetei hata kidogo) Lakini wakuu, tukubali kuwa hata kabla jamaa hajalimwa red, Nigeria hawakuonesha kama wanacheza kwa kujituma ili kuongeza magoli mengine, they were very relaxed. Hilo ndilo linalonipa shida. Ni kana kwamba walikuwa wanacheza wakiwa na uchovu mkubwa sana.
 
Ndo kandanda inachezwa sasahivi Polokwane Stadium..Mie nashabikia France!
Enjoy the match!

Mods baada ya mechi do the needful,Asante!!
 
Ndo kandanda inapigwa sasa..Mie nashabikia France!
Enjoy the match!
mi naombea ngoma iwe droo ili wasouth wapate unafuu wa kutafuta point kwa France............. uzalendo bwana kufungwa tunafungwa ila bado tu matumaini ninayo... kazi kweli kweli..
 
mi naombea ngoma iwe droo ili wasouth wapate unafuu wa kutafuta point kwa France............. uzalendo bwana kufungwa tunafungwa ila bado tu matumaini ninayo... kazi kweli kweli..

mimi nimekata tamaa kabisa najaribu kuisubiri Ghana kama itatufuta machozi......Senegal ingekuwepo angalau
 
mi naombea ngoma iwe droo ili wasouth wapate unafuu wa kutafuta point kwa France............. uzalendo bwana kufungwa tunafungwa ila bado tu matumaini ninayo... kazi kweli kweli..

mmh! ila nikiwawazia south natamani France idraw,sema mpira bwana hautabiriki..ila na kipigo cha Naija kimenifadhaisha sana sipo tena Africa..
naona na vuvuzela bado zina-cruise!ha ha
 
Ndo kandanda inachezwa sasahivi Polokwane Stadium..Mie nashabikia France!
Enjoy the match!

Mods baada ya mechi do the needful,Asante!!

Hehehe France wazee wa kununua talent hawana deal mwaka huu sema hawa Mexico nao wamejichokea kama Taifa Stars
 
Hehehe France wazee wa kununua talent hawana deal mwaka huu sema hawa Mexico nao wamejichokea kama Taifa Stars

Du! yani Mexico kama Stars kweli watakuwa wamechoka mana ile timu yetu ya taifa ni michosho..France nayo ipo ilimradi imepata mwanya WC kwa shida. Mie mwaka huu hata kutabiria mshindi nashindwa yani hata timu tano nikitabiria zinaweza tolewa tu..
 
It smell like wazee wa Tijuan watachukua hii. They seem to want it more.
 
Mimi nawashangilia wa mexico hapa manake dada zao hawana hiyana wala nini,ukibanwa wanakuhudumia fasta...
 
Back
Top Bottom