ha ha..
Kidogo pye kidogo pye, refa anataka yeye ndio aonekane tuuuuuu
It smell like wazee wa Tijuan watachukua hii. They seem to want it more.
takrima! takrima! takrima !!!!!!! oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!Mimi nawashangilia wa mexico hapa manake dada zao hawana hiyana wala nini,ukibanwa wanakuhudumia fasta...
Nazungumzia kuchukua hii mechi. Mexico hawana ubavu wa kuchukua kombe.Abdu,mmh hao wamexico watalipata kweli hilo kombe!..Naomba liende Europe mana Africa linapita tu pale SA!
hahaha...... kweli kuna sababu nyingi za kushangilia timuMimi nawashangilia wa mexico hapa manake dada zao hawana hiyana wala nini,ukibanwa wanakuhudumia fasta...
Nazungumzia kuchukua hii mechi. Mexico hawana ubavu wa kuchukua kombe.
Mimi nawashangilia wa mexico hapa manake dada zao hawana hiyana wala nini,ukibanwa wanakuhudumia fasta...
Nacheka kubanwambona unanicheka mkuu???
Ndo kandanda inachezwa sasahivi Polokwane Stadium..Mie nashabikia France!
Enjoy the match!
Mods baada ya mechi do the needful,Asante!!