Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walete walete hao wachovu England............Heskey ndani ya dimba..........hahaaaaaaaaaaaaaaaaa,lol
Mhh,,, kwanini mkuu?hii gemu inaelekea kubaya sasa
Nyie washabiki wa England mwaka huu lazima mpate pressure, hii timu mzozo mtupu lol.
Yani we huoni hiyo England wanavyochemsha?Mhh,,, kwanini mkuu?
Hao nawaombea kichapo tu mkuu; so naona mambo yanaenda vizuri so far :tea:Yani we huoni hiyo England wanavyochemsha?
De Novo unatutania ama?engilang
invisible hawa wana hip hop wa usa hapo hawaponi tu kwa mwendo huo hata uk wanaonekana kuchemshaHao nawaombea kichapo tu mkuu; so naona mambo yanaenda vizuri so far :tea:
utani wapi ndugu yangu?? naona hawa wanaleta ushkaji kama wa lowassa na JK mazee... there is serious football, with exception of OgUchi UnyeoDe Novo unatutania ama?
hahahhhaaaa kha! umenifanya nicheke yaniutani wapi ndugu yangu?? naona hawa wanaleta ushkaji kama wa lowassa na JK mazee... there is serious football, with exception of OgUchi Unyeo
bad new to engilang