Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
mkuu hata Algeria sio wabaya hili kundi kunaweza kutoa maajabu tusubiri tuone.hawa wote wanauwezo wakuwapa draw uingereza na usa kama wakiwakazia.Hawa Slovenia huwa ni wazuri, siyo timu ya kuidharau. Mimi nawapa nafasi ya kuingia round ya pili na Marekani au England. Mmoja wa hawa mabwana vita itabidi arudi tu nyumbani.