World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

bendtner kakosa goli la waziiii.................
 
lakini holland ya miaka hii hamna kitu kabisa!VERY FAKE!
naikosa sana holland ya EDGA DAVIS!
VIPI DAVIS NI KOMENTETA LEO?au ana kiwewe cha ''utaifa?''
 
lakini holland ya miaka hii hamna kitu kabisa!VERY FAKE!
naikosa sana holland ya EDGA DAVIS!
VIPI DAVIS NI KOMENTETA LEO?au ana kiwewe cha ''utaifa?''

yeah yupo studio....danish wanatishia na counter-attack
 
hivi yule dogo niliosikia humu JF babake ni mtz anachezea DENMARK au SWEDEN??
 
yeah yupo studio....danish wanatishia na counter-attack
tatizo ni huyo fowadi wanaedhani ni mzuri!...
yani fowadi wao ni SUBSTITUTE ya timu ndogo kabisa ligi kuu uingereza!samahani mashabiki msikwazike
 
haki na nani vile,mtupe tu izo fidbak maana tumo maofisini wengine
izi mechi za mchana daaah!!twakosa uhondo
kutoka uwezi
 
leo kuna battle....agger vs kuyt.............
 
sijui uko wapi,kama tz ongeza 2hrs...........1500=1700.......1900=2100

mmbebabox,

Naina box limenoga

TZ imelala kwenye GMT+3 (siyo GMT+2)

Kwahiyo 15h00 GMT = 18h00 (TZ Local Time) = 6:00pm (Tanzania Local Time)
 
bendtner kakosa goli la waziiii.................

acha kuwaongelea wachezaji wangu mkuu ha ha ha .hizi mechi noma nime set alarm wala sijaisikia naamka hapa nakuta dakika ya 30.vipi mechi ilikuwaje dakika 30 za mwanzo ? manake nilitegemea hollad watasumbua sana kupitia mwanangu van magoli a.k.a van persie.
 
game imeboa kiaina.....holland ndio wanapress hawa denmark wanalinda sana......
 
30secs into second half................holland 1 denmark 0.............own goal scored by paulsen(jamaa ni black nomaa)
 
acha kuwaongelea wachezaji wangu mkuu ha ha ha .hizi mechi noma nime set alarm wala sijaisikia naamka hapa nakuta dakika ya 30.vipi mechi ilikuwaje dakika 30 za mwanzo ? manake nilitegemea hollad watasumbua sana kupitia mwanangu van magoli a.k.a van persie.

defence vs attack..........holland wanapress...danish wanadefend,holland wanaonyesha kiwango...................
 
Back
Top Bottom