Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KAWAIDA YAKE!vipi defence ya holland?bendtner kakosa goli la waziiii.................
KAWAIDA YAKE!vipi defence ya holland?
lakini holland ya miaka hii hamna kitu kabisa!VERY FAKE!
naikosa sana holland ya EDGA DAVIS!
VIPI DAVIS NI KOMENTETA LEO?au ana kiwewe cha ''utaifa?''
tatizo ni huyo fowadi wanaedhani ni mzuri!...yeah yupo studio....danish wanatishia na counter-attack
sweden!hivi yule dogo niliosikia humu JF babake ni mtz anachezea DENMARK au SWEDEN??
hehehe!waarabu wa pemba hao!hivi nani anaikamata liverpool kwa sasa?leo kuna battle....agger vs kuyt.............
sijui uko wapi,kama tz ongeza 2hrs...........1500=1700.......1900=2100
bendtner kakosa goli la waziiii.................
sijui uko wapi,kama tz ongeza 2hrs...........1500=1700.......1900=2100
acha kuwaongelea wachezaji wangu mkuu ha ha ha .hizi mechi noma nime set alarm wala sijaisikia naamka hapa nakuta dakika ya 30.vipi mechi ilikuwaje dakika 30 za mwanzo ? manake nilitegemea hollad watasumbua sana kupitia mwanangu van magoli a.k.a van persie.