World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Ila kubutua nako wanabutua! Toka hii mech imeanza! Sanaaaa cjui kwa kuwa kujaribu si kushindwa!! Haaa! Yani goli liko kati butuo linapaa juu tena pembani yagoli kulia/kushoto...duuu..
Huyo jamaa badala ya kupiga kufunga goli yeye alikuwa anaokoa ha ha ha !
 
Aaa... Mi penda wakorea... U go guys! Kumbe Tz ingeomba mech na korea ingetundikwa twice as much...hahahaaa
 
Basi huyu yuko emotional sana,au mara ya kwanza anacheza WC nini..sijawahi kulia nikiimba wimbo wa taifa..
BTW,yani mpaka sasa Brazil hawajafunga goli ina mana hawa N.Korea ni wakali hivyo?!..ha ha

BJ nimewaona wengi ambao wakisikia nyimbo zao za Taifa huangusha mchozi kama watoto lakini kwenye WC hii ni mara ya kwanza. Kuhusu Brazil kutopata goli hadi HTsijui kama tunaweza kusema N. Korea ni wazuri sana au Brazil wanataka kupiga chenga mpaka golikipa.

Brazil kwa kujulikana kama ni magwiji wa soka Ulimwenguni wengi tulitegemea wawe mbele at least kwa goli mbili kama siyo zaidi.
 
hii mechi kama Brazil watashindwa kuchukua point zote tatu watakuja kujilaumu coz kwenye kundi lao hii ndio timu ambayo unaweza kuwa na uhakika wa kuondoka na tatu......hawa jamaa nao wamekaza kweli hawataki mchezo.........................we mtu analia anapoimba wimbo wa taifa lake unadhani atakuachia kiurahisi....
 
hii mechi kama Brazil watashindwa kuchukua point zote tatu watakuja kujilaumu coz kwenye kundi lao hii ndio timu ambayo unaweza kuwa na uhakika wa kuondoka na tatu......hawa jamaa nao wamekaza kweli hawataki mchezo.........................we mtu analia anapoimba wimbo wa taifa lake unadhani atakuachia kiurahisi....

Bado kuna 45 minutes nyingine lakini na katika hizo chochote kinaweza kutokea na mtu kubugizwa 3-0
 
Huyo jamaa badala ya kupiga kufunga goli yeye alikuwa anaokoa ha ha ha !

Tena niliimanisha toka WC imeanza! Yani naona humo ndani wanakuwa wanafanya kubahatisha sana tu sometime! Mana mara mtu anaruka na kichwa unawaza uelekeo wake wa goli ulikuwa ni upi! haaaa..
 
BJ nimewaona wengi ambao wakisikia nyimbo zao za Taifa huangusha mchozi kama watoto lakini kwenye WC hii ni mara ya kwanza. Kuhusu Brazil kutopata goli hadi HTsijui kama tunaweza kusema N. Korea ni wazuri sana au Brazil wanataka kupiga chenga mpaka golikipa.

Brazil kwa kujulikana kama ni magwiji wa soka Ulimwenguni wengi tulitegemea wawe mbele at least kwa goli mbili kama siyo zaidi.

Aisee nahisi mtu akilia hivyo ana uchungu na nchi yake kama wimbo wa taifa unapigwa au anakumbuka mambo ya kwao..Jamaa au ndo nitoke vipi,kulia WC huh!
Kweli hii mechi mie hata imenikosesha msisimko kuiangalia full chenga tu..Haya tuone 2nd half kama itakuwa na mabadiliko vinginevyo tuenjoy chenga tu mpaka 90mnts..
 
Aisee nahisi mtu akilia hivyo ana uchungu na nchi yake kama wimbo wa taifa unapigwa au anakumbuka mambo ya kwao..Jamaa au ndo nitoke vipi,kulia WC huh!
Kweli hii mechi mie hata imenikosesha msisimko kuiangalia full chenga tu..Haya tuone 2nd half kama itakuwa na mabadiliko vinginevyo tuenjoy chenga tu mpaka 90mnts..

Brazil kama wanataka ushindi basi waanze kujaribu mashuti ya mbali na jabulani inaweza kufanya vitu vyake hahahahaha na wakatoka na ushindi na points zote tatu, wakiendelea kutaka kupiga chenga mpaka na golikipa basi wanaweza kuambulia 0-0 au hata kuadhiriwa.
 
Basi huyu yuko emotional sana,au mara ya kwanza anacheza WC nini..sijawahi kulia nikiimba wimbo wa taifa..
BTW,yani mpaka sasa Brazil hawajafunga goli ina mana hawa N.Korea ni wakali hivyo?!..ha ha

ni mara pili hawa sasa wanaingia world cup mara mwisho 1966.natoa chozi kutoamini sio macho yake na mapenzi ya nchi labda lol.


wakorea wamepaki bus golini pale naona mpaka sasa brazil hawataki kutumia plan b au hawana plan b.
 
Lil Kim lazima atakuwa anachekelea huko Pyongyang.

Halafu yule aliyekuwa analia nyie mnafikiri ni patriotism kumbe mwenzenu anakumbuka vitisho vya Kim Il Jong walivyopewa ikiwa watafungwa.
 
naona brazil wamekuja na SHOOT,SHOOT and SHOOT POLICY....
 
Huu uonevu kabisa... Kaka kajianguswa! Loh! Na wamenyimwa hilo goli...
 
Lil Kim lazima atakuwa anachekelea huko Pyongyang.

Halafu yule aliyekuwa analia nyie mnafikiri ni patriotism kumbe mwenzenu anakumbuka vitisho vya Kim Il Jong walivyopewa ikiwa watafungwa.

labda vitisho hivyo kama alipewa yeye peke yake au wengine hawaviogopi vitisho hivyo.
 
ni mara pili hawa sasa wanaingia world cup mara mwisho 1966.natoa chozi kutoamini sio macho yake na mapenzi ya nchi labda lol.


Wakorea wamepaki bus golini pale naona mpaka sasa brazil hawataki kutumia plan b au hawana plan b.

wana plan b ndio wanaitumia sasa....umeona wamepiga shots ngapi tangu 2nd half ianze.....
 
Brazil wako too defensive minded na hawana mtu wa kutoa killer pass at the final third, wanamiss blind pass from Dinho!
 
Back
Top Bottom