Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwaambia.......................... GERMAN kauza mechi. Na mechi imekwishaaaaaaa.....
Ghana wana kazi ngumu saaanaa. Miroslaw Klose kawauwa Waghana.
Utashangaa siku wanacheza na Ghana watakavyokuwa na nguvu.....
Niliwaambia.......................... GERMAN kauza mechi. Na mechi imekwishaaaaaaa.....
Ghana wana kazi ngumu saaanaa. Miroslaw Klose kawauwa Waghana.
Utashangaa siku wanacheza na Ghana watakavyokuwa na nguvu.....
WAAAT?...hahahaha...acha uzushi! How does this score affect Ghana? PLEAZEEEE be realistic at times. Ghana wana nafasi nzuri ya kushinda kundi! Yani wauze huku Ghana bado ina mechi mbili? Wana uhakika na hizo mechi???
afadhali seme wewe mkuu,huyu jamaa kang'ang'ania ujerumani kauza mechi as if washa-qualify.......umeona wapi hio??conspiracy theory haina kichwa wala miguu.............
mimi sikubaliani na aidia ya sikonge ya kuuza mechi!
aidia yake haina mshiko......kama germany wangekuwa na 6pts sawa....lakini 3pts then wauze game wategemee kumfunga ghana as if ghana sio chochote c'mon man..............
naona jana celtics wameniangusha adbulhalim kala hela yangu lol.
Tupo Pamoja mkuuKipute ndo kinaanza........
Niliwaambia.......................... GERMAN kauza mechi. Na mechi imekwishaaaaaaa.....
Ghana wana kazi ngumu saaanaa. Miroslaw Klose kawauwa Waghana.
Utashangaa siku wanacheza na Ghana watakavyokuwa na nguvu.....