BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
BJ walikuwa na so many opportunities ya kufika mbali zaidi ya walipofika lakini uzembe na maamuzi yasiyo na busara yametucost Waafrika wote.
I know BAK, naamini watajifunza kutokana na makosa..It's time to move on japo ni kovu ambalo hawatasahau!..Nimempenda Prince-Boateng zaidi ya kisoka(msiniulize kivipi)..tatooz!!
Anyway!..This is World cup with full of surprises.....and I like it!!