World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Lakini jamani mlitegemea nini kutoka kwa Mjerumani? Kuanza tu kamchapa bingwa mtetezi Spain magoli matano na leo tayari kamchapa "host" matano yale yale! Cha kushangaza ni nini? Niambieni mimi ninayeshabikia magoli tu bila kujali anayefungwa ni nani! Mashabiki wa Brazil ombeni tu msivunje rekodi ya dunia kwa kuruhusu matano zaidi; hii itakuwa balaa!
Kwa kumbukumbu tu we' ni mshabiki nguli wa Brazil...
 
Mie sitaki goli moja mie nataka iwe draw kwanza afu hayo mengine yatafata baadae
 
CAPTION: JAMANI HAWA JAMAA WAMESHAPOTEANA KWAHIYO TUWATANDIKE MAPEMA

2401891_big-lnd.jpg
[/QUOTE
hahaaaa
 
tangu mwanzo wa mashindano siikubali brazil kwa kua mwaka huu haina kiwango na imefika hapo kupitia mbeleko za marefa


Mexico na Colombia ndiyo ambao walitakiwa kuitoa Brazil lakini mbereko ziliisaidia sana.
 
Lakini jamani mlitegemea nini kutoka kwa Mjerumani? Kuanza tu kamchapa bingwa mtetezi Spain magoli matano na leo tayari kamchapa "host" matano yale yale! Cha kushangaza ni nini? Niambieni mimi ninayeshabikia magoli tu bila kujali anayefungwa ni nani! Mashabiki wa Brazil ombeni tu msivunje rekodi ya dunia kwa kuruhusu matano zaidi; hii itakuwa balaa!

we unaangalia mpiga gani????
 
Ebana ingawaje siipendi Brazil, lakini naowaonea huruma kinoma.
 
Bongo tumeshapata utetezi mpya kwa timu zetu.Utasikia "Anapigwa brazil 5 bana,tena kwenye kombe la dunia!Itakuwa sisi kufungwa tatu kwenye ligi!?"
 
Back
Top Bottom