Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BRAZIL tangu mechi ya kwanza walionyesha sio timu nzuri....mechi zote wameshinda kwa mbinde tofauti ya goli moja moja na hajakutana na timu za kutisha....hapa kwa mjerumani ndio ilikuwa mwisho wake,HII NI REALITY CHECK!!!! Brazil walikuwa wabovu tangu mwanzo sasa kipindi cha pili wafanye damage limitation otherwise record ya germany vs saudi arabia[8-0] itavunjwa leo maanake MUELLER ana goli tano anahitaji magoli mawili awe top scorer two consecutive world cups.... MILOSLAV CLOSER AMEKUWA ALL TIME WC TOP SCORER.......
lakini jamani mlitegemea nini kutoka kwa mjerumani? Kuanza tu kamchapa bingwa mtetezi spain magoli matano na leo tayari kamchapa "host" matano yale yale! Cha kushangaza ni nini? Niambieni mimi ninayeshabikia magoli tu bila kujali anayefungwa ni nani! Mashabiki wa brazil ombeni tu msivunje rekodi ya dunia kwa kuruhusu matano zaidi; hii itakuwa balaa!
Nakuunga Mkono NN, vinginevyo hawa Wajerumani kama wazuri kiasi hicho wasingetoka jasho na Ghana au USA, wa kawaida sana.
Komaeni mnataka penati za bure hampati!
Kumbe home boy na wewe uko Germany? Wacha tuendelee kutupia!
We acha tu Mkuu mie leo siku yangu bomba sana nimefanya shughuli zangu chap chap ili kuhakikisha naona mpira huu kwa kituo, halafu kunakuwa na midabwada kama hii dakika 26 tu mechi imekwisha!!! Dah!!!
Technics na tactics...unakumbuka Spain walifungwa 5 na uholanzi?
Brazili hii forwad hamna kabisaaa.... Ronaldo de lima huko alipo nadhani anamshangaa sana huyu Fred..!!