World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kwa kumbukumbu tu we' ni mshabiki nguli wa Brazil...
 
Mie sitaki goli moja mie nataka iwe draw kwanza afu hayo mengine yatafata baadae
 
tangu mwanzo wa mashindano siikubali brazil kwa kua mwaka huu haina kiwango na imefika hapo kupitia mbeleko za marefa


Mexico na Colombia ndiyo ambao walitakiwa kuitoa Brazil lakini mbereko ziliisaidia sana.
 

we unaangalia mpiga gani????
 
Ebana ingawaje siipendi Brazil, lakini naowaonea huruma kinoma.
 
Bongo tumeshapata utetezi mpya kwa timu zetu.Utasikia "Anapigwa brazil 5 bana,tena kwenye kombe la dunia!Itakuwa sisi kufungwa tatu kwenye ligi!?"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…