World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Hivi ule mjadala wa kuwa Messi na Maradona nani zaidi ulifikia wapi?

Akiwaongoza Argentina kubeba kombe hili Messi atakuwa mchezaji bora kuliko yyt yule kupata kutokea hapa duniani!

Takwimu hazidanganyi jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…