At least it's a contest!
jana mida kama hii gemu ilikuwa ishaisha
At least it's a contest!
jana mida kama hii gemu ilikuwa ishaisha
Haka ka Messi kapo kama kapanya aisee
leo tunaangalia mechi ya world cup jana lilikuwa kama bonanza
hahahahaha lol!!!!
habari zenu.........
uholanzi haendi kokote leo. wewe subiria tu masaa machache utakimbia jukwaa
salama kabisa. niaje?habari zenu.........
habari zenu.........
hahaaaa umebadili na bendera naona...
Mkuu mimi leo nafurahia burudani tu maana nikiongea humu naweza kupigwa.