Karibu Argentina ufurahike!
karibu ujerumani...
Tufunge na kusali Argentina wasichukue kombe pale brazil, vita ya tatu itaanzia amerika kusini
Team yangu Imetolewa sina team sasa hivi,fainali nitaenjoy kuwa teamless hakuna stress at all
Messi sleep well baby. I love uuuuuuuuuuu... Ukikaona ni Kama hakana nguvu vile ila shughuli yake matata
mnhh huo ufundi huo itabidi tuje tuuthibitishe if its true...
kuna football critic mmoja alisema hii world cup ni anybody's world cup....hakuna dominant team kihivyo...Brazil wali collapse kwanza......ukitazama hata Ghana angekomaa angefika fainali...hata USA.....sio kwamba Germany wazuri sana walaa...wako level moja na Argentina na Uholanzi na hata Ghana in my opinion na France...same level...Oh noooo....kile kipigo hakikuwa cha kawaida ndo maana hata Wajerumani wenyewe bado hawaamini. Mi mwenyewe bado siamini yaliyotokea.
Yaani ndani ya dakika sita mtu unafungwa magoli manne kwenye soka? Tena unacheza nyumbani kwenu....halafu unaishia kudungwa 7.....
Halafu kibaya zaidi ni kwamba, kwa jinsi ilivyokuwa inaonekana ni kana kwamba Ujerumani ingeweza kufunga magoli zaidi ya saba kama kweli wangetaka.
Kilichotokea jana si hali ya kawaida katika soka ndo maana Wajerumani inabidi wawe makini sana kutoruhusu hayo matokeo yawafanye wawe complacent.
Na Jumapili kwenye fainali hakutakuwa na magoli mengi kama hayo ya jana. That I'm willing to bet my money on.
Anyway ngoja niende nikakurekebishie mtonyo wako bana.....
Wakuu everlenk BAK Malafyale MEANDU Otorong'ong'o mwekundu adolay na wengine wote wa #TeamArgentina , naomba nishukie kituo kinachofuata. Maana nimewasindikiza na kuwapa support mpaka mmekaribia kufika, narudi kwa mkoloni jamani, #TeamGermany
My heart wants Argentina to win but my head is telling me...hmmm.....maybe....just maybe
Kuna mtu akiona hapa atakuchukia? We unafikiri mchezo mpka akaacha timu yake kaja kushangilia kwangu ili huo ufundi asiukose!, chezea nanilii hata kwenye football imework out!!!
kuna football critic mmoja alisema hii world cup ni anybody's world cup....hakuna dominant team kihivyo...Brazil wali collapse kwanza......ukitazama hata Ghana angekomaa angefika fainali...hata USA.....sio kwamba Germany wazuri sana walaa...wako level moja na Argentina na Uholanzi na hata Ghana in my opinion na France...same level...
Teh teh teh....umenichekesha kweli mdada......
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Yaani nilikuwa sijacheka toka jana baada ya kisago.
No thank you!sitaki pressure kuna Enzo Peres na Lionel Messi watakuwa wakishika mpira moyo unakwenda mbio,nimeamua kuwa teamlesskaribu ujerumani...
nimefurahi sana hawa wadatchi kutolewa maana humu watu wa masista u tayari walikua washaanza zogo la kumsifia van gal na leo v.persie wao hajaonekana kabisa na huyo roben wao