World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13


nimeishi argentina kwa miezi 9 weusi wazawa kibao au unazungumzia manzese argentina?
 

Hii inaitwa conspiracy theory au kwa kiswahili rahisi UZUSHI.
 

Hawana mpango, mbona walipiga mengine mawili baada ya makubaliano? Kama wamevunja agano lao wenyewe bila shaka Mwenyezi Mungu atawapa ushindi Argentina katika fainali. Ingawa Argentina siipendi lakini kwa fainali hii niko upande wao wanipigie huyu Mkoloni wetu.
 

mbona timu yetu hakuna waarabu wala wahindi au sio wa tanzania wale ?
 

Walikua na uwezo wa kushinda hata goli 12 ile match ila wakaamua tu kuwastahi wenyeji.
Mpira mipango, pesa na maandalizi Mkuu, hizo story za mungu danganya toto, or else angewapa ubingwa wenyeji
Halafu hivi kweli shabiki na mpenzi nguli wa Brazil anaweza kuishabikia Argentina? Hizi si kama Yanga/Simba, R.Madrid/ Barca, Man Utd/Liverpool au Fenerbache/Galatasaray?
 
Mi najiulizaga hivi mbana timu kama nigeria,cameroon na nyingine azichezeshagi wazungu ni kwamba africa amba wazungu waarabu ama wahindi wanaocheza mpira ama nao piia ni ubaguzi.?

you are so intelligent, sio tu hizo nchi ulizozitaja,hata Taifa Stars haina angalau Mhindi,Mchina,Mwarabu,Msomali,au Mzungu hata mmoja japo wapo wengi tu ambao ni raia,je sisi ni wabaguzi?
 

huyu dada mimi huwa namshangaa!kuna siku alikuwa anashabikia alshabaab wanavyolipua kenya,nani amekwambia soka ni mchezo wa kufanya balance ya ngozi nyeusi na nyeupe??ule ni mchezo wa vipaji hata baloteli pale italy usifikiri amewekwa kwa sababu ya rangi yake bali ni kutokana na rangi yake!kama vitu vingine huelewi sio lazima kuchangia ndugu yangu!mbona taifa stars hakuna wahindi au wazungu wakati kuna wahindi wengi tu wenye uraia wa tanzania??picha uliyoweka inaonekana ni mtu nadhifu na mcha mungu lakini ukituma text zinatia kichefuchefu!
 
For all you World Cup fans, I couldn't resist!
VIVA BOTH PAPAS!!!


 
you are so intelligent, sio tu hizo nchi ulizozitaja,hata Taifa Stars haina angalau Mhindi,Mchina,Mwarabu,Msomali,au Mzungu hata mmoja japo wapo wengi tu ambao ni raia,je sisi ni wabaguzi?

mkuu hujui unachokiongea. ukiondoa mchezo wa soka ambao hata siyo hobby ya watu wengi wa asia kwenye michezo mengine kama swiming, badminton, tennis, automobile, cricket, chess, rugby etc Tanzania inawakilishwa kimataifa na Watanzania wenye asili ya Kiasia. shida yenu kubwa ni kwamba mchezo kwenu ni soka tu hamna idea ya michezo mingi inayochezwa hapa nchini.
 
1.England
2.Potugal
3.Netherland
4.Argentina

Netherland kacheza fainali mwaka 2010 lakini hakuchuokua


Argentina anacheza fainali 2014 na hatochukua.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
andate...actually my thanks was whenu started "name droppings..." km kuongea football tuongee tu si mengine yatatutoa nje ya soka,kwenye hii stats yako nimependa ila kwenye madai yako sijui conspirancy .....aaah mkuu ss kitafuata nini utakana hata Diego hana kiwango basi...?kwa nini conspiracy asitajwe Rooney basi ndo bora....Tuache uafrica huu wa kutafuta visingizio hata km facts zipo wazi.....
[h=2]The Legend Lives On[/h]Retirement did little to diminish the public profile of Pelé, who remained a popular pitchman and active in many professional arenas.
In 1978, Pelé was awarded the International Peace Award for his work with UNICEF. He has also served as Brazil's Extraordinary Minister for Sport and a United Nations ambassador for ecology and the environment.
Pelé was named FIFA's "Co-Player of the Century" in 1999, along with Argentine Diego Maradona. To many, his accomplishments on the soccer field will never be equaled, and virtually all great athletes in the sport are measured against the Brazilian who once made the world stop to watch his transcendent play....
 

Vipi waarabu waliopo Tanzania nao hakuna mwenye hobby ya soccer?Kwa kauli hiyo tunajuaje kama watu weusi wa Argentina wanapenda soccer,maana michezo ni mingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…