KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 199
Ewe punguani unamtaja Baloteli? hapa siongelei wachezaji naongelea Taifa zima lisilokuwa na watu wenye asili ya Afrika na ilhali walipelekwa huko kwa wingi kama sehemu zingine la bara la Amerika.
Jee, wewe unakijuwa kilichopelekea kutokuwa na Waafrika Argentina?
shukran kwa kushukuru.
Kwa kifupi mafanikio ya wachezaji watatu kwenye WC
Edson.
Akiwa na umri wa miaka 18, aliibeba brazil kuchukua kombe la dunia kwa mara ya kwanza mwaka 1958 alikuwa na umri wa mtoto wa kidato cha nne kwa TZ.
Akawabeba tena brazil wakachukua mwaka 1962.
Mwaka 1966 akalikosa.
Akawabeba tena brazil wakachukua ubingwa tena mwaka 1970.
Mara zote aliifikisha brazil at least robo fainali.
Diego.
Aliwabeba Argentina wakachukua WC mwaka 1986, waliwafunga german fainali.
Akawafikisha fainali mwaka 1990, walifungwa na german goli moja la penati, Andre Brehme alipiga hiyo penati.
Messi.
Hii ni mara ya tatu anashiriki, ana umri wa miaka 26, ameingia fainali ya kwanza ya WC mwaka huu 2014, hatujui kama Wajerumani watamwacha achukue.
Kuhusu Maradona kupigiwa kura awe mfalme wa soka duniani, zilikuwa ni hila kwa sababu Edson ni mweusi tiiiii, weupe mpaka kesho roho zinawauma lakini hakuna atakayefuta record za Edson, wapenda haki walitengua uteuzi wa Diego kwa kuhusisha madawa ya kuongeza nguvu.
Kampeni zipo tu kwenye michezo, media zinatumika kupaisha watu.
Wajerumani wamemrudisha Klose timu ya taifa ili avunje record ya kufunga magoli mengi kwenye WC, walikuwa wanamtengenezea nafasi za kufunga avunje rocord, ndio maana unaona hata goli lake alilowafunga Brazil mtoaji pasi alikuwa na uwezo wa kufunga wakampa yeye apige tena na tena.
Yote hiyo ni ili mtu wao ndiye awe ameweka record.
Huu ndio unaitwa uungwana michezoni au sportsmanship, kumbe Mkoloni hakupenda kuendelea kumdhalilisha Mbrazil nyumbani kwake na wakiwa mapumziko walikubaliana kupunguza kasi.
Habari iko hapa; Hummels says Germany pledged at half-time not to humiliate Brazil Mats Hummels says Germany made pledge at half-time not to humiliate Brazil in World Cup semi-final | Mail Online
Ujinga mwingine unakuwa hauna mfano.
Kama kuna timu siipendi basi ni Argentina kwanza kabisa kwa ubaguzi wao wa rangi. Umeshamuona mtu mwenye asili ya Kiafrika Argentina? jiulize kwanini na walipelekwa huko kama walivyopelekwa bara zima la Amerika.
Ukijuwa kilichpelekea Waafrika kutokuwepo huko, utaichukia daima hiyo nchi na watu wake.
Hawana mpango, mbona walipiga mengine mawili baada ya makubaliano? Kama wamevunja agano lao wenyewe bila shaka Mwenyezi Mungu atawapa ushindi Argentina katika fainali. Ingawa Argentina siipendi lakini kwa fainali hii niko upande wao wanipigie huyu Mkoloni wetu.
Mi najiulizaga hivi mbana timu kama nigeria,cameroon na nyingine azichezeshagi wazungu ni kwamba africa amba wazungu waarabu ama wahindi wanaocheza mpira ama nao piia ni ubaguzi.?
Ww knachokusumbua n akil na kujitambua,umejawa roho ya kibaguz tu,ikija dini upo na ubaguz wako afu na kwenye soka waja tena na wimbo wako ule ule,kama hujui soka kaa pemben,balotel n black fika bt mwambie kuwa ww kwenu n africa uone atakachokufanya....dunia imechange Argentina huijui ww piga kimya
Sent from my iPhone using JamiiForums.
you are so intelligent, sio tu hizo nchi ulizozitaja,hata Taifa Stars haina angalau Mhindi,Mchina,Mwarabu,Msomali,au Mzungu hata mmoja japo wapo wengi tu ambao ni raia,je sisi ni wabaguzi?
Kptn.Messiiii nomaaaa umetupoza alafu nasikia Roben katupia la mwisho lol
andate...actually my thanks was whenu started "name droppings..." km kuongea football tuongee tu si mengine yatatutoa nje ya soka,kwenye hii stats yako nimependa ila kwenye madai yako sijui conspirancy .....aaah mkuu ss kitafuata nini utakana hata Diego hana kiwango basi...?kwa nini conspiracy asitajwe Rooney basi ndo bora....Tuache uafrica huu wa kutafuta visingizio hata km facts zipo wazi.....shukran kwa kushukuru..
Edson.
Akiwa na umri wa miaka 18, aliibeba brazil kuchukua kombe la dunia kwa mara ya kwanza mwaka 1958 alikuwa na umri wa mtoto wa kidato cha nne kwa TZ.
Akawabeba tena brazil wakachukua mwaka 1962.
Mwaka 1966 akalikosa.
Akawabeba tena brazil wakachukua ubingwa tena mwaka 1970.
Kuhusu Maradona kupigiwa kura awe mfalme wa soka duniani, zilikuwa ni hila kwa sababu Edson ni mweusi tiiiii, weupe mpaka kesho roho zinawauma lakini hakuna atakayefuta record za Edson, wapenda haki walitengua uteuzi wa Diego kwa kuhusisha madawa ya kuongeza nguvu.
Kampeni zipo tu kwenye michezo, media zinatumika kupaisha watu.
Wajerumani wamemrudisha Klose timu ya taifa ili avunje record ya kufunga magoli mengi kwenye WC, walikuwa wanamtengenezea nafasi za kufunga avunje rocord, ndio maana unaona hata goli lake alilowafunga Brazil mtoaji pasi alikuwa na uwezo wa kufunga wakampa yeye apige tena na tena.
Yote hiyo ni ili mtu wao ndiye awe ameweka record.
bange za kuvutia chooni izi mbaya sana!!...Kptn.Messiiii nomaaaa umetupoza alafu nasikia Roben katupia la mwisho lol
mkuu hujui unachokiongea. ukiondoa mchezo wa soka ambao hata siyo hobby ya watu wengi wa asia kwenye michezo mengine kama swiming, badminton, tennis, automobile, cricket, chess, rugby etc Tanzania inawakilishwa kimataifa na Watanzania wenye asili ya Kiasia. shida yenu kubwa ni kwamba mchezo kwenu ni soka tu hamna idea ya michezo mingi inayochezwa hapa nchini.