World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Wengi tutakimbia sred hii maana imeingiliwa na watu wazima kuandikiana maneno ya kashfa!
Tupo hapa kujadili soka tu na si vinginevyo!Plese @Bwan'chuchu na @ Mourinho turudi kwenye mstari tumalizie sred hii Jimapili kwa amani kama siku zote!!

Hata mimi nashangaa hizo kashfa zimotokea wapi!

Huyu Murinyo out of nowhere katokea tu kuanza kulipuka na kashfa

Akaja na huyo Chombwa naye.......

Kosa langu liko wapi?
 
Hata mimi nashangaa hizo kashfa zimotokea wapi!

Huyu Murinyo out of nowhere katokea tu kuanza kulipuka na kashfa

Akaja na huyo Chombwa naye.......

Kosa langu liko wapi?

Mkuu yaishe haya!Tumechangia hapa mwezi mzima huu kama ndugu bila mkwaruzano!Jumapili tuagane hapa bila kununiana
 
Mkuu yaishe haya!Tumechangia hapa mwezi mzima huu kama ndugu bila mkwaruzano!Jumapili tuagane hapa bila kununiana

Mi wala sina tatizo na mtu wala maoni yake.

Kama mtu hapendi maoni yangu ayaruke tu au awaambie mods wanifungie.

Lakini siyo kunirushia maneno ya kashfa.
 
Team Argentina!!Messi;Aguero;Di Maria na Higuain ni tofauti kabisa na Gustavo;Paulinhno;Fred na Bernard!

Messi and Co. hawata-capitulate kama hao masharobaro wa Brasil.

Nilikuwa naangalia clip ya Scolari na Carlos Alberto Pereira ya mkutano wao na waandishi wa habari Jumatano, Scolari kasema hajui kilichotokea hadi kikapelekea kufungwa magoli manne ndani ya dakika sita.

Hana maelezo kabisa. Halafu eti bila hata aibu anasema asilimia 70 ya kikosi hiki kitakuwepo Russia 2018!

He can't be serious. Binafsi ambao naona walau wanaweza kuwepo kwenye hicho kikosi ni Bernard na Neymar tu. Hata huyo Neymar naye nina mashaka naye maana anaonekana ni sleki sana.

Hulk tupa kule, Fred ndo kabisaaaa hafai.
 
Reactions: BAK
Mzee Scolari kabaki kubwabwaja tu katika jitihada za kutetea kitumbua chake kisiingie mchanga. Nitashangaa sana kama bado atakuwa kocha wa Brazil katika mashindano ya Copa America 2016 yatakayofanyika USA.

 
Mzee Scolari kabaki kubwabwaja tu katika jitihada za kutetea kitumbua chake kisiingie mchanga. Nitashangaa sana kama bado atakuwa kocha wa Brazil katika mashindano ya Copa America 2016 yatakayofanyika USA.

Kesho baada ya game wanamfukuza hata yy Scolari analijua hilo
 
Kuna any Jamiiforums member hapa Sisi kwa Sisi Bar-Mburahati?Mm ishafika hapa naanza na supu ya kongolo asubuhi hii!Njooni jamani tujadili mpira
 
Katika Ulimwengu huu wa leo kama bado unaviona vitu/mambo/watu in black and white then you are clearly misinformed, misguided and ignorant, in fact ulichokiandika kinapingana na historia.
Do your homework sonny!

nilichoandika kinapingana na historia ya WC? unaongelea soka au netiboli?
Weka historia yako ya WC ya soka ya wanaume ya hao wachezaji watatu tuione hapa.
Weka ya messi, weka ya maradona, weka ya Edson.

Au unatuma hizi posts ukiwa umelewa, maana naangalia unavyojibizana na watu humu ni tofauti sana na ulivyokuwa ukijibizana mwanzoni mwa thread hii.
 
Kuna any Jamiiforums member hapa Sisi kwa Sisi Bar-Mburahati?Mm ishafika hapa naanza na supu ya kongolo asubuhi hii!Njooni jamani tujadili mpira

Kuna mtu anasema hii historia y WC ni ya uongo? eti hii kitu ni ya uongo?

 
Bora iwe hivyo ameshalifanyia Taifa lake mambo mengi katika Ulimwengu wa kandanda, sasa umefika wakati wa yeye kupumzika na kuwapisha wengine.

Kesho baada ya game wanamfukuza hata yy Scolari analijua hilo
 
Mourinho unaweza nipa sababu kubwa kwa nn wadau wengi wanasema Germany atamfunga Argentina Jumapili?

Sababu za wadau wengi sina, ninazo sababu zangu na ziko hivii;
1.Mkoloni ana kitu kinaitwa 'team' inayoanza (1st 11) na inayoanzia bench ni kitu kimoja tofauti na nchi nyingi ambazo zina 'vikosi' tu lakini hakuna 'team' kama wale waliokula wiki
2. Hii team imekaa muda mrefu pamoja na kocha mmoja ingawa kuna some few new additions, hivyo wanajuana na wanauzoefu na mechi kubwa, 2010 walifika 1/2 ya WC kule Bondeni, wakafika tena 1/2 ya Euro mwaka 2012, msimu wa 2012-2013 tumeona all germans final kwenye Champios league na team hizi ziko dominated na wazawa. Kwa kuongezea kikosi hiki cha mkoloni kina wachezaji 6 waliokua pamoja kwenye U-20 na walichukua ubingwa wa ulaya, hivyo inaonesha kiasi gani hawa watu wanajuana
3. Wametoka katika kundi gumu na kuna mechi hawakucheza vizuri sana lakini waliyapata matokeo waliyoyahitaji, kwa maana hiyo hata match ikiwa ngumu bado wanauwezo wa kupata matokeo
4. Hakuna mchezaji pekee anayeibeba wala mwenye presha ya kuibeba Ujerumani tofauti na Argentina ambao kama tulivyoona juzi Vs Holland ukimbana Messi wanashindwa kabisa kufika kwa kipa, ukimkaba Muller yupo Kroos, ukimkaba Kroos yupo Khedira, ukimkaba huyo yupo Ozil, Goetze, Klose n.k
 
Last edited by a moderator:
Dah! Nipo njia panda! Nataka Germany washinde kombe la dunia ila pia ni mshabiki mkubwa wa Messi, hivyo nataka aweke stamp rasmi kuwa yeye ni mchezaji bora duniani niliyewahi kumshuhudia. Kuna watu wanashindwa kumkubali kisa eti hajashinda bado kombe la dunia. Hivyo akishinda, mjadala utafungwa. Mi shabiki wa Uingereza, ila pia naipenda Ujerumani.
 
Kama mjuavyo, katika soka la kunakuwaga na wale wapinzani wa jadi waliotukuka au maadui walioapa kutopendana kamwe. Hii ndivyo ilivyo kwa mataifa ya Brazil na Argentina katika soka.

Ni hawapendani na ni watani kama Simba na Yanga hapa bongo. Sasa mambo yamekuwa tete kabisaaaa kwa taifa la Brazil katika fainali hizi sababu Argentina wametinga fainali na wao Brazil walipata dhoruba kutoka kwa Ujerumani. Mambo yanakuwa magumu kwa Brazil kwa sababu zifuatazo:

1. Adui yao mkubwa kwenye soka katinga fainali pasipo wao kutinga fainali tena kwenye ardhi yao. Huu ni ubabe tayari wa kunyesha mabavu kwenye ardhi ya adui yako,

2. Argentina wameongezea na kusugulia chumvi kwenye kidonda kwani Brazil licha ya kufedheheshwa 7-1, sasa wanaumia adui wao kuingia fainali na kuna uwezekano mambo yakawa mabaya zaidi maana wanaweza Argentina wakachukua ubingwa,

3. Argentina wamewalazimisha Wabrazil waishabikie na kuisapoti Ujerumani kwenye fainali, timu ambayo iliwapa dozi iliyotukuka yaani iliwapa wiki au goli 7.

Kweli mpira ni mchezo unaoweza kukupatia majonzi. Pole kwa taifa la Brazil na pia kwa washabiki wa Brazil.

Ndo mpira ulivyo, suka au nyoa!
 
Kuna any Jamiiforums member hapa Sisi kwa Sisi Bar-Mburahati?Mm ishafika hapa naanza na supu ya kongolo asubuhi hii!Njooni jamani tujadili mpira

dah ndugu yangu...ya kwangu mm "madoto bar" jirani tu....ila nipo safari kidogo,ntakutafuta jirani
 
Last edited by a moderator:
hapa Malafyale utakuwa umeelewa sasa!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…