Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hii ni team ya kawaida tu,Germany hawana mbinu mbadala ukiwakaba hawawezi badilika!Algeria kama sio Ramadhan waliwaondoa Germany easily kabisa!Na France madudu matupu wlaicheza!!
Bao 7 za Brazil zimewaogopesha wengi lkn Brazil hata na Argentina au Holland angefungwa labda hata zaidi ya 7!Brazil unamtegemea Fred na Bernard akupe kombe la dunia?Are these people serious?Mido zako ni Gustavo na Paulihno?This is more than a joke jamani!!
Brasil walifungwa vile kwa sababu walisalimu amri mapema mno na wakaacha kucheza.
Na Jumapili hakutakuwa na bonanza ya magoli kama ilivyokuwa kwenye hiyo nusu fainali.