World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Let's wait for the final.

Hivi fainali zilizopita Ujerumani waliwafunga Argentina bao ngapi?

1-0.....1990, Italia. Tena goli lenyewe lilikuwa la penati.

1986 Argentina 3 - West Germany 2

Don't expect to see a goal bonanza like we saw the other day.

Argentina is not going to capitulate.
 
Njooni Bar wadau tujadili soka!Nipo hapa Tabata Kisukuru bar inaitwa Umoja!
Wana JF wa Tabataaaaaaa mpoooo!!
 
Kuna football critic namuamini sana kataja Argentina kushinda...
 
Sio utani mechi kati ya Deutscheland na Brasil iliuma mno mno mpaka nikazima TV baada ya goli la tano kufungwa. Tokea kuanza mechi hizo sijapata kufedheheka kaisi hicho hata zile mechi za wasakatonge wa Cameroon sikujisikia vibaya vile. Je wewe mwenzangu ni mechi gani iliyokupelekea kuzima TV kabla haijaisha sababu ya timu uipendayo kupoteza tumaini la ushindi?

ile kawaida tu kama yanga tunavyowapiga cc msimbazi tukiamua tu 6 au 5 yaani tunajipigia tu
 
Hiyo ndiyo sifa ya team bora "UNPREDICTABLE"
Messi kaiingiza team round ya pili,then Di Maria akaipelaka robo fainali baadae Higuain akaivusha nusu fainali na jana Romeo kaipeleka fainali!
Kwa trend hiyo basi wala huwezi jua ni nani atalipeleka kombe Bueno Aires Jumapili,yyt hawa jamaa anaweza akawa star mechi hiyo na ndiyo sifa kuu ya team bora

Mkuu usimsahau macherano, ile block aliyompiga Roben dakika ya 90+, kipa alikua keshapotea.
 
Back
Top Bottom