Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hii ni team ya kawaida tu,Germany hawana mbinu mbadala ukiwakaba hawawezi badilika!Algeria kama sio Ramadhan waliwaondoa Germany easily kabisa!Na France madudu matupu wlaicheza!!
Bao 7 za Brazil zimewaogopesha wengi lkn Brazil hata na Argentina au Holland angefungwa labda hata zaidi ya 7!Brazil unamtegemea Fred na Bernard akupe kombe la dunia?Are these people serious?Mido zako ni Gustavo na Paulihno?This is more than a joke jamani!!
Tukuyu stars.
Ha ha ha ha ha ha ha scoreboard bra 1-7 gersiku Klose alipovunja rekodi ya Ronaldo De lima. Ata hivyo kwangu Ronaldo ni best of the best.
Walikua na uwezo wa kushinda hata goli 12 ile match ila wakaamua tu kuwastahi wenyeji.
Mpira mipango, pesa na maandalizi Mkuu, hizo story za mungu danganya toto, or else angewapa ubingwa wenyeji
Halafu hivi kweli shabiki na mpenzi nguli wa Brazil anaweza kuishabikia Argentina? Hizi si kama Yanga/Simba, R.Madrid/ Barca, Man Utd/Liverpool au Fenerbache/Galatasaray?
Mkuu kwani Germany kwa USA,Algeria na France si ulikuwa ushindi wa tia maji tia maji au?Algeria kama sio mfungo wa Ramadhan hata hapa mlipo msingefika mngekuwa zamani sana out!!Ghana kama Jordan Ayew angefuata hata basic za soka tu msinge ingia hata round ya pili!
Mkoloni team ya kawaida kabisa bao 7 za Brazil zisikutishe yyt angemfunga Brazil hizi teams 4 zilizobaki tena bao nyingi tu!!
Brazil hawawez kupata hata mshindi wa tatu
KOMBE LA DUNIA 2014: Nyota wa Brazil Neymar amemtaka Lionel Messi kuiongoza Argentina kuifunga Ujerumani katika mchezo wa fainali Jumapili na kutwaa ubingwa.
naam! Messi amenena vema.
Brazil hawawez kupata hata mshindi wa tatu
Hata Neymar angekuwepo hakuna kitu sanasana angeambulia kadi nyekundu huyo bishororo wa Sao PauloHivi unafahamu forwardline isipomiliki mpira defence inakuwa na mzigo mara mbili?sasa jumlisha hilo na style ya Brazil ambao hulinda goli kwa kushambulia,inapotokea hawawezi kushambulia,basi na kulinda pia inakuwa hivyo.hii zahma ya jana iliwakuta na France,Ronaldo akiwemo,forwardline ilikufa,balaa likawakuta kutoka kwa Zizzou and co kule nyuma.ilikuwa hivi hivi,kasoro tu jana defence yao ilikuwa mbovu kupitiliza na magoli yakawa mengi,lakini ukitazama,tatizo kuu lilikuwa kumanage mfumo wa kupeleka attacks,mbele walishindwa,wakawa frustrated na goli la mapema.hivi Neymar awekwe na akina Fred,hulk na vile vimeo vyao unategemea nini?brazil ilikufa ilipochaguliwa,hata Neymar hawezi kuiokoa,hata Messi au De lima wangewekwa na kikosi hiki wasingebadili matokeo.Neymar mnamuonea bure jamani!
Hata Neymar angekuwepo hakuna kitu sanasana angeambulia kadi nyekundu huyo bishororo wa Sao Paulo