World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

kuna timu za Africa zinavyocheza huku tunaotizama kwenye tv unatamani uwashike kwa mkono wachezeshe wale walimu wasiokuwa na subira kuwafundisha watoto darasani ndomana wanachapa wanafunzi ovyo.
 
Afu wote wanacheza mpira ulaya lakini hovyo . wabongo tunasemaga wachezaji wetu hawana miili angalia hawa wapopo na miili yao wanapelekeshwa na wajepu
 
Refa anabanduliwa nini ?mtu anashika anakunakuna sharubu weka penati wewe refa
 
Hivi vijapan vyepesi sana vitawasumbua sana Ivory Coast, wenyewe wana miili mikubw na wazito.
 
Afu wote wanacheza mpira ulaya lakini hovyo . wabongo tunasemaga wachezaji wetu hawana miili angalia hawa wapopo na miili yao wanapelekeshwa na wajepu
wanauzi kweli utafikiri zile Movie za Jackie chain anapigana na ile mijitu ya kirusi au Ukraine wameshika Gun wanaokuja ovyo anawapiga na gun zao.
 
Hivi vijapan vyepesi sana vitawasumbua sana Ivory Coast, wenyewe wana miili mikubw na wazito.
Bantu lady hao Ivory cost lazima wafungwe si chini ya goli mbili. Wanafikiri wamekuja kunyanyua vyuma humo.
 
Last edited by a moderator:
Huyo kocha wao chizi amemuweka Drogba bench wakati biashara asubuhi, jioni mahesabu. Ona wenzetu kina Honda na Nakagawa wamechezeshwa kwanza.
 
daaaa ni vituko uwanjani hapa Honda ana washa moto daaaa hakuna timu ya africa kuvuka hatua ya makundi.
 
Gervihno huyu ni mwehu kabisa!Manguvu kama ingekuwa ndiyo soka basi USA wangekuwa bingwa maana Van Damme, ---- Young na Arnold Schwarzenegger wangekuwa wanacheza!
 
Back
Top Bottom