World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Inakuwaje mtu umekata ticket Kumbe siti yako pembeni Huyo Mpiga ngoma?
 
Huyu kocha atamwekaje Drogba benchi,anataka amwingize wakati kalou na Yahya wakiwa wamechoka?
 
wanauzi kweli utafikiri zile Movie za Jackie chain anapigana na ile mijitu ya kirusi au Ukraine wameshika Gun wanaokuja ovyo anawapiga na gun zao.
kweli mkuu utadhani ni Chinese moviev,nawasubiri Ghana ndo nina matumaini nao wengine ni full mabitoz
 
Huyo kocha wao chizi amemuweka Drogba bench wakati biashara asubuhi, jioni mahesabu. Ona wenzetu kina Honda na Nakagawa wamechezeshwa kwanza.
Drogba hawezi kufua dafu mbele ya Honda na Marcedez Benz za wajapan.
Japan wanatakiwa kufunga la pili
Timu za Africa zina kera sana.
 
Hamna strategy na kila mchezaji anataka yy ndiyo afunge apokelewe kama shujaa Abdijan siku wanarudi
 
ni kweli mwenyezi mungu asaidie ila kwenye mpira nafikiri atapenda wanaojiituma vizuri zaidi ila pia dua nzuri kumuomba mungu muhimu.

Yaani acha tu siye waafrika sijui! Drogba angekuwepo kwa juhudi anayofanya Yaya Toure nadhani tungecheka kidogo!!, halafu hii miili mikubwa mbona inaanguka hovyo na kukosa balans ni lishe au mazoezi duni??
 
Huyu kocha atamwekaje Drogba benchi,anataka amwingize wakati kalou na Yahya wakiwa wamechoka?
Viol, drogba si lolote mbele ya
Honda za wajapan daaaa
 
Last edited by a moderator:
Afu ubaya naaangalia ktk t.v. ya kispanish fujo tupu . huyu Aurier Arsenal wanaomfukuzia bora ya eboue
 
Dah bora nilipie kutizama game za mchangani Uswazi kuliko kulipia umeenda safari Brazil kutizama mpira wa style hii.
 
Kichwa aliyoipiga Kalou ingekuwa Drogba tungeona madhara
 
Yaani acha tu siye waafrika sijui! Drogba angekuwepo kwa juhudi anayofanya Yaya Toure nadhani tungecheka kidogo!!, halafu hii miili mikubwa mbona inaanguka hovyo na kukosa balans ni lishe au mazoezi duni??
Watakuwa Wanapiga Vyuma vya Cement huku kilo 50 huku Kilo 35 unajazia upande.
 
kweli mkuu utadhani ni Chinese moviev,nawasubiri Ghana ndo nina matumaini nao wengine ni full mabitoz

Ghana hawezi vuka lile kundi!Germany na Ureno watapita!Mnyamwezi na Ghana bye bye

Ghana wana mkosi tu kundi gumu,lingekuwa kundi hili ni la Ghana angepita kiurahisi sana
 
hiii game ivory coast wanauwezo wakushinda wakikaza Nana umaliziaji ni shida kidogo
 
Back
Top Bottom