Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiii game ivory coast wanauwezo wakushinda wakikaza Nana umaliziaji ni shida kidogo
Watakuwa Wanapiga Vyuma vya Cement huku kilo 50 huku Kilo 35 unajazia upande.
Wachezaji wa Africa hawajitumi kabisa wao pesa mbele halaf kucheza hawajui.Makipa wote wa Africa wanafanana
Hivi ni kwamba Drogba amegoma kucheza au kocha haoni umuhimu wake?
Leo kulala saa 0600hrs east African time
Halafu maadalizi ya gem zinafuata.
Hahaha sasa Maboya ni waliofunga au walio fungwa?Dah, maboya wanaongoza hapa
Hivi ni kwamba Drogba amegoma kucheza au kocha haoni umuhimu wake?
Hivi ni kwamba Drogba amegoma kucheza au kocha haoni umuhimu wake?
Kweli Afrika tujitahidi tu kuweka nguvu zetu kwenye mziki na mapenzi huenda tukapata jina zaidi kuliko ktk soka.