World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Drogba jana kafunga goli nimefurahi sana..... anacheza lini tena mnaojua naomba mnisaidie...... makelele anacheza nchi gani? na kaka naye anachezea nchi gani naomba na ratiba zao......
Drogba alifunga goli?
makelele alianzia simba sport akahamia azam akacheza france asaiv wajukuu zake ndo wanacheza,
hakuna kaka bila dada, kaka alikuwa Ruvu shooting, akacheza manyema fc hala akaenda brazil kuichezea timu ya taifa, kwa sasa brazil nafasi hazitoshi, amekosa nafasi ila si kwamba hawezi.....
 
Drogba alifunga goli?
makelele alianzia simba sport akahamia azam akacheza france asaiv wajukuu zake ndo wanacheza,
hakuna kaka bila dada, kaka alikuwa Ruvu shooting, akacheza manyema fc hala akaenda brazil kuichezea timu ya taifa, kwa sasa brazil nafasi hazitoshi, amekosa nafasi ila si kwamba hawezi.....

Una roho mbaya
 
Drogba hajafunga goli,makelele alikuwa anachezea France,alishastaafu siku hizi anasaidia kufundisha PSG,Kaka ni wa Brazil na yeye kastaafu timu ya taifa Ivory coast watacheza alhamisi saa moja jioni.Brazil itakuwa jumanne saa nne usiku

Aya kwa hiyo kaka atacheza?
 
System yao ya kukuza na kulea vipaji ni tofauti na sisi.

Ndo mana wanauwezo wa kubadili kikosi kizima ndani ya miaka 2

Na sisi Tanzania mbona tuna team yetu ya maboresho tuliiweka Tukuyu kambini
 
Mkuu umehama Hispanola/Catalunya?

Mshauri awe na moyo wa upendo bhana,mbona mabuluda tulivumilia timu yetu siku ile tulivyonyanyaswa na hawa wakatalunya goli 4 fainali ya ulaya?tena kama sikosei huyu ALEYN alitunyanyasa sana,alitufuata hadi chumbani kule juve and milan threads,labda niwe nimechanganya Ids.
 
Last edited by a moderator:
France jana wamechezewa lafu kweli ile mijamaa imeniboa kocha wao hafai na refa aliwaonea huruma ningekuwa uwanjani wote ningewapa kitu cha red
 
Back
Top Bottom