The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,148
- 2,537
Drogba jana kafunga goli nimefurahi sana..... anacheza lini tena mnaojua naomba mnisaidie...... makelele anacheza nchi gani? na kaka naye anachezea nchi gani naomba na ratiba zao......
Kaka anachezea brazil lakini hajaitwa kwenye kikosi ,check ratiba page ya kwanza.