World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Drogba jana kafunga goli nimefurahi sana..... anacheza lini tena mnaojua naomba mnisaidie...... makelele anacheza nchi gani? na kaka naye anachezea nchi gani naomba na ratiba zao......

Kaka anachezea brazil lakini hajaitwa kwenye kikosi ,check ratiba page ya kwanza.
 

Kama yeye kumbukumbu zake fupi, sisi hatujasahau kejeli zake na nduguye gutierez.

Hivi nikuulize ALEYN ikitokea na Argentina kashushiwa kipigo cha mbwa mwizi kama kile cha Spain utahamia wapi?
 
Last edited by a moderator:

nilisema juzi hapa kuwa mnaweza mkaona msichotarajia kutioka kwa bosnia. Argentina wanapaishwa na vyombo vya habari tu hawana kitu.
 
Hulk an injury doubt for Brazil ahead of tomorrow's clash with Mexico:
 
Italy goalkeeper Gianluigi Buffon is doubtful to face Costa Rica after missing his side's #WorldCup opener against England with ankle injury
 
Italy are waiting to discover if Gianluigi Buffon and Mattia De Sciglio will return from injury against Costa Rica
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…