Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Half time. German wapo mbele kwa goli 3 kwa 0. Cristiano haonekani kabisa, nani ndio anaonekana kupambana zaidi.
Pepe katia mikosi timu yake, huyu jamaa atakuwa anavuta c bure, uwezi kuonyesha display ya kibange kama hivi. Naamini kipigo alichopata spain kitakuwa ni kidogo, hawa ureno lazima watalimwa 6.
Poleni =team ureno
Pepe katia mikosi timu yake, huyu jamaa atakuwa anavuta c bure, uwezi kuonyesha display ya kibange kama hivi. Naamini kipigo alichopata spain kitakuwa ni kidogo, hawa ureno lazima watalimwa 6.
Poleni =team ureno