World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Ngoja namimi niwe upande wako team chile............Tatizo hukeshi!!!!

Ya pili nipo, saa 7 niko hatiani, nishawishi basi nichepuke!! Unajua inauma ukeshe halafu ufungwe kama ile juzi ya Ghana!
 
binafsi nimeumia sana kwa hii timu ta watoto wa malkia. kwa kweli wamejituma sana kitimu na walistahili kusonga mbele hatua ya mtoano ila mechi ya kwanza imewaharibia.

Kabisa walistahili kuingia kumi na sita bora hawa!
 
Wakuu vp kuhusu Cameroon? Hakuna mtu mwenye matumaini nayo?
 
cristiano ronaldo is out of the world cup due to tendonisis.source bein sports.
 
Wimbo wa taifa wa chile naupenda sana ingawaje siuelewi wakifikaga katikati wanapandaga mzuka hadi raha yaani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…