everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,027
Ngoja namimi niwe upande wako team chile............Tatizo hukeshi!!!!
Ya pili nipo, saa 7 niko hatiani, nishawishi basi nichepuke!! Unajua inauma ukeshe halafu ufungwe kama ile juzi ya Ghana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja namimi niwe upande wako team chile............Tatizo hukeshi!!!!
Ya pili nipo, saa 7 niko hatiani, nishawishi basi nichepuke!! Unajua inauma ukeshe halafu ufungwe kama ile juzi ya Ghana!
binafsi nimeumia sana kwa hii timu ta watoto wa malkia. kwa kweli wamejituma sana kitimu na walistahili kusonga mbele hatua ya mtoano ila mechi ya kwanza imewaharibia.
Utakesha?
Wakuu vp kuhusu Cameroon? Hakuna mtu mwenye matumaini nayo?
Kama kawa...