World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Hivi wachezaji wa Spain kwa nini wakipiga chenga wanamsubiria adui aliyempiga chenga aje amkabe tena? au ndo mafundisho yao.
 
Kama Spain watafungwa leo, itakuwa ni mara ya kwanza kwa watetezi wa Kombe la Dunia kuwa wa kwanza kutolewa.
 
Tunaisubiri nayo Brazil iungane na Spain, lakin kuna nani Spain. Kwanza ni wao ndiyo wanaongoza ubora wa soka duniani kwa miaka 4 mfululizo. Hebu ona kuna javi Martinez,fabrigas,mata,Alonso,Silva,aniesta,xavi,bousequest,
 
Kama Spain watafungwa leo, itakuwa ni mara ya kwanza kwa watetezi wa Kombe la Dunia kuwa wa kwanza kutolewa.

2012 ufaransa hawakutolewa katika hatua hii?
 
Tim hispania wataanza kuvunja tundu mmoja badala ya mwingine.
 
Tukisema Spain ni wateja tunaambiwa eti ni mashabiki maandazi
 
Kwa nini?

Haitabiriki,hakuna mkubwa wala mdogo timu yoyote inapigika saa yoyote,watu wamejiandaa aisee,sikutegemea matokeo niyaonayo hadi sasa.halafu kiwango cha soka kinachoonyeshwa na timu nyingi ni cha juu mno.ni burudani sana.hii ndio soka tunayotaka kuiona mashabiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…