Duh! Naogopa kweli huo mpira ukija golini kwetu.
Dah kweli sikio la kufa halisikii dawa, Croatia wameshatuchapa
Mimi mzalendo nasambaza upendo kwa Cameroon hata kama tutafungwa.
Majanga tuuupu...aagh nikalale miyeee
Karne hii ya Viselfie tusitegemee timu yoyote ya Afrika na timu ya England kufanya vizuri katika Kombe la Dunia. Afrika hatuna discipline yoyote angalia tunavyofungwa namna hii. Watu badala ya kuwa serious wanavaa kata K mambo gani hayo... Haya fungasheni mizigo.
Sasa mkiondoka wote itakuaje?
Majanga tuuupu...aagh nikalale miyeee
Aaagh the match is discouraging..... hamna hata matumaini