rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Karne hii ya Viselfie tusitegemee timu yoyote ya Afrika na timu ya England kufanya vizuri katika Kombe la Dunia. Afrika hatuna discipline yoyote angalia tunavyofungwa namna hii. Watu badala ya kuwa serious wanavaa kata K mambo gani hayo... Haya fungasheni mizigo.