Hiyo ndio laana ya kutowachezesha wachezaji wa Arsenal! Lazima utafungwa tu!
England inatakiwa wawe wananyimwa posho kama wachezaji wa Afrika ili wawe na sababu ya kufanya ovyo katika mashindano makubwa. Mambo gani haya wanapewa posho ya kumwaga(labda kuliko nchi zote) lakini matokeo ni yale yale kila mwaka.
Umefurahi sana leo, itabidi ukatembelee kwenye convenience store
Mshikaji unatuharibia Fans wengine wa The Gunners, kwanza Gunners hawakuwa na wachezaji wazuri katika timu yao. Pili ambaye naona angepata namba ni Walcott ambaye aliumia, afu nina uhakika Ox hakuwa fit kucheza hata dakika moja. Huyu Wilshere(ingawaje ana potential ya kuwa star mbeleni)lakini ukimsoma vizuri anajizungushazungusha katikati wakimpa upaja huwa anaanguka chini na kuvunjika.
Kuwa star lini? Wilshere alicheza vizuri mechi 2 akasifiwa sana but tangu wakati huo Hana tofauti na Cleverley.Halafu kwa nini pale Arsenal wachezaji wanaumiamia ovyo Diaby,Wilshere na Ramsey na OX wanafuata nyayo nao
walienda na histori ya 1966England inatakiwa wawe wananyimwa posho kama wachezaji wa Afrika ili wawe na sababu ya kufanya ovyo katika mashindano makubwa. Mambo gani haya wanapewa posho ya kumwaga(labda kuliko nchi zote) lakini matokeo ni yale yale kila mwaka.
japan greece ni bet vipi?
Hivyo swali Zuri umeuliza Mie nilitaka kujuwa hili sababu hii Van Parsie alivyokuwa Arsenal alikuwa anaumia sana kwenda United hakuumia ila alivyokuja Moyes alikuwa anaumia na akienda Holland anaumia kuna kitu nimejiuliza Arsenal wanaumia wachezaji sana na Parsie alikuwa huko je ni mazoezi wanayopewa au daktari wawachezaji wa viungo sio au ni kitu gani? manager anavyowasukuma Mazoezini? Nauliza hivi sababu NBA nimeona Lakers wachezaji wanaumia wengi sana kuliko timu zengine kuna Timu wachezaji hawaumii ovyo ila umia ya Diaby basi tena na Wilshire asipotizama atamaliza ndani ya miaka mitatu Kama atakuwa hai.Kuwa star lini? Wilshere alicheza vizuri mechi 2 akasifiwa sana but tangu wakati huo Hana tofauti na Cleverley.Halafu kwa nini pale Arsenal wachezaji wanaumiamia ovyo Diaby,Wilshere na Ramsey na OX wanafuata nyayo nao
Ebana wewe ni bonge la Arsenal hater kuliko DonDonald, Nzi na Mndengereko. Wilshere anaweza kuwa bonge la star wa England kama atabadili vitu vichache huwezi kumfananisha na Cleverly au lile guruwe(Welbeck) lililotaka kuondoka kama Moyes angeendelea kuwepo madarakani Old Trafford
Wacha nimpe sifa anastahili
japan greece ni bet vipi?
Atabadilika mwaka gani,umeona Ramsey,Sterlling walivyobadilika. Scholes alimwambia dogo badala ya kuimprove yeye anarudi nyuma
Stuart Pierce alisema Wilshere hakustahili kwenda WC .Wilshere so far ni average player but wanamuoverate sana
Hivyo swali Zuri umeuliza Mie nilitaka kujuwa hili sababu hii Van Parsie alivyokuwa Arsenal alikuwa anaumia sana kwenda United hakuumia ila alivyokuja Moyes alikuwa anaumia na akienda Holland anaumia kuna kitu nimejiuliza Arsenal wanaumia wachezaji sana na Parsie alikuwa huko je ni mazoezi wanayopewa au daktari wawachezaji wa viungo sio au ni kitu gani? manager anavyowasukuma Mazoezini? Nauliza hivi sababu NBA nimeona Lakers wachezaji wanaumia wengi sana kuliko timu zengine kuna Timu wachezaji hawaumii ovyo ila umia ya Diaby basi tena na Wilshire asipotizama atamaliza ndani ya miaka mitatu Kama atakuwa hai.