Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Ukweli ndo huo hawako serious kabisa kwa mfano Nigeria ambaye huku tunamtegemea na kumuona anatisha na anavyonyanyasa ameshindwa tena kizembe kuwapiga Iran wakati amewazidi kila kitu na mpira wao wa mdebwedo halafu tujipe moyo et atafika robo kweli? angalia nchi zingine zilivyo seriou kama netherland na zinginewaafrika ni washiriki tu