World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Ukabaji wa Nigeria siyo mzuri kabisa...

Washambuliaji wa Bosnia nao hawako vizuri sana leo
Ila Nigeria leo wametulia kidogo wanacheza mpira wa kueleweka siyo kama juzi ilikuwa ni kimbiza mwenge na butuabutua
 
Reactions: BPM
Kwa staili hii nigeria wanakaribisha mashambulizi
 

Mkuu wangu kutokana na maendeleo ya teknolojia, siku hizi kila mtu anaweza ku-air opinions zake hata kama ni shudu tu.
Wachukulie poa tu, hawajui walitendalo.
 
Last edited by a moderator:
Huree.. ushindi # 2 kwa Africa & counting... timu ingine ya Ulaya Out
 
Sina imani na kiwango cha Nigeria km watafika mbali zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…