World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Wazungu wanakosa weledi kwenye mambo muhimu

Watajidai eti hawana soka la kuvutia kama the deadly looser tick taka soccer ya Spain

mfano Chile na Costa Rica walivyosumbua utakapo wakuta unaweza cheka

Wakichemka kwenye rank mpya bora Blatter ajiuzulu tu
 

Iran atamfunga Bosnia hata bao 1 tu lkn kwa beki hii ya Nigeria Messi ataondoka na mpira wake
 

Iran atafungwa na Bosnia...
 
Hongera nigeria kwa ushindi..

Shikamo Mkuu, samahani nimekuwa nyuma sana katika mashindano haya, niko na majukumu mengine huku nikiangalia video ya sarakasi za pale Msimbazi. Kila la heri Mkuu na ka-azam kako.
 
Naona Nigeria na Ivory coast wana nafasi ya kupenya 16 bora
 
Naona Nigeria na Ivory coast wana nafasi ya kupenya 16 bora

Ghana watakuwa wanategemea matokeo ya U.S.A na Portugal.
Pia Nigeria ili apite itabidi Iran afungwe na Bosnia au watoke draw
 
Ghana watakuwa wanategemea matokeo ya U.S.A na Portugal.
Pia Nigeria ili apite itabidi Iran afungwe na Bosnia au watoke draw
Ndo maana nikasema angalau hao wananafasi kwa Iran hii sijui kama wanaweza kupita kwa bosnia,lakini kwa Ghana nafasi yao ni ndogo maana na wao wana mech na hao portugal
 
Timu za afrika hata zikipita na kuingia katika 16 bora hamna la maana zitalaloleta zaidi ni aibu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…