World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Ivory coast,Nigeria na Algeria kama zikishinda mechi zao za mwisho moja kwa moja wanaingia hatua inayofuata.Ghana wakishinda mechi ya mwisho bado itabidi waombee German amfunge USA.Na leo pia aombee Portugal ashinde ili Marekani abakie na points zilezile tatu.
 
Kila WC wao ni posho tu ndo wanatoa kipaumbele kuliko nchi

wale wa 1990 waliahidiwa na serikali yao watajengewa nyumba kila mchezaji iwapo wataingia roundi ya pili. Jamaa wakafika robo fainali, mpaka kesho hakuna cha nyumba wala kibanda walichoambulia.
 
Mpira mirefu ni shida kwa Desert Fox"Algeria"!Mechi ya mwisho na Russia wakishindwa ku deal na mipira mirefu wanapigwa
 
Kwa hesabu za mwaka huu? ama katika historia ya WC?

Nafikiri hesabu zake za mwaka huu maana kama WC zote basi team iliyofunga bao nyingi ni Cameroon enzi hizo ni Simba Asiyefugika wa ukweli!Kama hizi bao 4 za Algeria wao walifunga kwa mechi 2 tu kati ya Uingereza robo fainali na Colombia round ya 16
 
Hii itakuwa bomba sana kuwa na timu tatu toka Afrika kati ya tano, hata Ghana na Cameroun ni madudu yao tu lakini walistahili kuwemo kwenye 16 bora.

 
Kwa nn Algerians ni warefu na wana mwili zaidi ya Koreans lkn mipira yote mirefu wanacheza wa Koreans!Wajirekebishe kwa hilo wanampa sana taabu kipa wao Rais
 
Wakorea wanashambulia wakiwa wengi mbele.ni kama walivyomfanya mtaliano kule kwao wakamtoa.dawa yao ni kuwakaba katikati wasicheze long balls na kuwashambulia kwa kustukiza ndani ya vipindi vifupi bila kuacha.
 
Hii itakuwa bomba sana kuwa na timu tatu toka Afrika kati ya tano, hata Ghana na Cameroun ni madudu yao tu lakini walistahili kuwemo kwenye 16 bora.

Mkuu!!
Cameroon na hii team yao ya Essau Ekoto hata ingepangwa kundi la South Korea,Japan na Honduras wasingevuka kaka,hawana lolote zaidi ya kila saa kufungua simu kuona kama POSHO chama chao cha soka wamekwisha itumbukiza kwenye akaunti zao!
 
Kazi ipo kwa Korea, Algeria hawana mchezo. The rest of Africa should learn from them...this is serious football; siyo watu wanakuwa wazito uwanjani ukichanganya na uzembe kama waliouonesha Nigeria!

Algeria siyo bora kama ufikiriavyo, wamekutana na timu dhaifu sana.
 
Hii ni very soft,wala asingetoa freekick huyu refa,hawa wakorea wanatafuta dead balls na long balls vibaya,na beki ya Algeria marking ni zero.
 
Algeria siyo bora kama ufikiriavyo, wamekutana na timu dhaifu sana.

Mbona Belgium walihangaika sana kwa Algeria?Wape credits zao hawa Desert Fox wanajua sana soka!Algeria hawana nguvu nyingiiii lkn wanatumia sana akili

Udhaifu wao hapa ni mabeki kucheza mipira ya juu wakirekebisha hiyo wanaingia round ya 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…