Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,073
- 1,862
Ivory coast,Nigeria na Algeria kama zikishinda mechi zao za mwisho moja kwa moja wanaingia hatua inayofuata.Ghana wakishinda mechi ya mwisho bado itabidi waombee German amfunge USA.Na leo pia aombee Portugal ashinde ili Marekani abakie na points zilezile tatu.